Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,409
Believe me bro, some major decisions concerning the club were made wrongly. Japo ambalo hata amateur asingefanya. Mtu kama Castr tu namna alivyopigia kelele hapa jukwaani kuhusu issue ya Aouar VS partey basi aliona mbali iwe yeye anaejiita Guardiola mdogo?? Decision ya kumuondoa Torreira, really?? Msimu aliokuwa nao under Unai mpaka akawa one of the best DM duniani ndani ya 1 season halafu yeye anakuja kumuondoa kirahisi tu inashangaza kwa kweli.
Nakumbuka, lakini tumekuwa na bad lucky pia several times. VAR pamoja na referees wamekuwa wakituumiza kwenye maamuzi kadhaa.
All in all pamoja na yale makosa binafsi ya wachezaji kama vile kusababisha magoli, kupata red cards na kukosa clear chances, Arteta hatoshi kwenye kile kiti.
Given the same resources under the same league, any other average Manager could do better than him. Teams like Leicester, Westham, and Villa are good examples.
Katika yote hayo yaani Arteta kashindwa kumtoa Villareal na kutinga final?! Nafasi ambayo ingetupa chance ya kujaribu kurudi Uefa in a short cut way.
Nadhani katika msimu mzima alipaswa kuonesha uwezo wake wote (kama anao) katika situation ya namna hii. Hii pia inge garantee kibarua chake next season and may be beyond. Kitendo cha kufeli hapa ni ushahidi tosha kwamba he has nothing left in his locker.
Akampa nafasi Willock weeeeeeeeeè jambo ambalo hata mere fan tu angeona hiki ni kimeo.
Issue ya Ozil ilikuwa ni financial zaidi, tukasemaaaaaaa weeeee humu mpaka tukagombana. Mimi mpaka Leo hutaona sehemu nimem-quote Aaron kwa sababu ya timu. Nashangazwa ni wapi wadau mlikuwa hamuoni. Kila mtu alikuwa akimchukulia computerarsenal kama ana jazba lakini alikuwa na hoja.
Sasa niwaambie, tatizo kuu ni Edu kudaadeki. Ndio tajiri ana matatizo na hata mimi simtaki lakin matatizo ya tajiri siyo yanayosababisha timu ikawa vile jamani. Labda matatizo ya tajiri yanatufanya tusiweze chukua kombe lakini sio yanayofanya tuwe nafasi ya 17 huko. Matatizo ya tajiri siyo yanayofanya stage zote za mtoano Europa tupite kwa bahati bahati. Hatushindi mechi zote mbili, Villareal anatutoa kweli??? Haiwezekani matatizo ya tajiri eti yatufanye tushindwe na west ham au Everton au Leicester jamani.


