Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kutokana na ugumu wa ratiba yetu, sisi Chelsea siku ya J5 hatutaki mambo mengi kama ntaamua kushinda bc hakikisheni mnashinda kipindi cha kwanza magoli mengi kama sio hvy bc na nyie tunakula kichwa
Arsenal hata tuwe out if form vipi vibonde vyetu ni united na chelsea
 
Salama.

Natumaini wewe ni mzima.

Leo kuna mechi. Ingawa msimu ushaisha kwa Arsenal
Sijambo kabisa.

Yah tuna mechi ila it's so sad kwa club kama Arsenal, come this time of the season kitu pekee imefanya ni kuretain premier league status.
 
Sijambo kabisa.

Yah tuna mechi ila it's so sad kwa club kama Arsenal, come this time of the season kitu pekee imefanya ni kuretain premier league status.
Hahaha wakati ule liva inagarauka matopeni hatukujua wanavyofeel. Now we know
 
Hahaha wakati ule liva inagarauka matopeni hatukujua wanavyofeel. Now we know
Dah, tulisema hapa kuwa anguko la Arsenal limeanza muda mrefu na haya yanayotokea sasa ni matokeo ya anguko.

Bado watu wanamtetea Kreonke na kuhamisha lawama kwa Wenger, ikaja Emery na sasa Arteta.
 
Dah, tulisema hapa kuwa anguko la Arsenal limeanza muda mrefu na haya yanayotokea sasa ni matokeo ya anguko.

Bado watu wanamtetea Kreonke na kuhamisha lawama kwa Wenger, ikaja Emery na sasa Arteta.
Kroenke alifanikiwa kutrick watu kipindi cha Wenger, akafanikiwa wakati wa Emery now tusipokaa sawa anafanikiwa kwa mara nyingine kuuaminisha umma kwamba tatizo ni kocha.

Nisieleweke visivyo hapa. Kocha ana matatizo yake ila mmiliki ana yake ya tangu muda mrefu.
 
Kroenke alifanikiwa kutrick watu kipindi cha Wenger, akafanikiwa wakati wa Emery now tusipokaa sawa anafanikiwa kwa mara nyingine kuuaminisha umma kwamba tatizo ni kocha.

Nisieleweke visivyo hapa. Kocha ana matatizo yake ila mmiliki ana yake ya tangu muda mrefu.
Uko sahihi Arteta ame expose mapungufu yake kama kocha na hata me simlaumu kwa situation ya Arsenal na ukichanganya na kutokuwa na uzoefu, ndio maana tumekosa high profile coach kwa kuwa kufail ni jambo la kufikia tu.

Nilipredict humu kuwa Arteta ndio kocha pekee Arsenal ita afford miezi mitatu kabla hajawa appointed, na msingi wangu ilikuwa ni kuwa mmiliki hana nia ya kufanya overhaul hivyo hamna kocha wa maana atakuja.
 
Uko sahihi Arteta ame expose mapungufu yake kama kocha na hata me simlaumu kwa situation ya Arsenal na ukichanganya na kutokuwa na uzoefu, ndio maana tumekosa high profile coach kwa kuwa kufail ni jambo la kufikia tu.

Nilipredict humu kuwa Arteta ndio kocha pekee Arsenal ita afford miezi mitatu kabla hajawa appointed, na msingi wangu ilikuwa ni kuwa mmiliki hana nia ya kufanya overhaul hivyo hamna kocha wa maana atakuja.
On paper timu ina wachezaji wazuri. Mtihani umekua kuwaunganisha na kuwamerge na mentality ya ushindi.

Kushindwa kuwalisha hii mentality means kocha wetu anahitaji natural fighters ambao ni Guendouz, Elneny, Tierney, Mari, Torreira. Hapo wengine hawapi game time na wengine kawatoa kwa mkopo.
 
Back
Top Bottom