ryana fan
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 2,632
- 3,056
Matchday VS Fulham.
A win is another step in the right direction.
Mkuu si niliona kuna muda Arsenal ilikuwa inaongoza imekuaje tena umekazwa kamoja?
Matchday VS Fulham.
A win is another step in the right direction.
Wenu upi TREKTA sio kocha Bado hajamaliza mafunzoKwa spirit ya gem mbili zilizopita hii gem pia iko upande wetu View attachment 1755470
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Niliongea last week kuwa Arsenal mpaka sasa natambua haina kocha ila ina baadhi ya wachezaji wazuri na hao wachezaji wakiwa kwemye good Mood ni balaa na wakiwa off Mood hutaamini unachokiona kwenye TV yako but nani wa kulaumiwa?ni Arteta yeye ndiye kakabidhiwa timu ila naona Arsenal inacheza kutokana na experience binafsi za wachezaji hana vision sasa ana tofauti gani na mimi shabiki mfano nkipewa timu?anyway naapa mimi Arsenal akibeba EUROPA league NTAKUNYA kutoka posta hadi Mwenge kwa kikosi hiki trust me!Nawatakia weekend njema wana Gunners wenzangu!kwa ushindi wa Sare wa leo!Natunza Comment yangu!Kwa mchezaji mmoja mmoja Arsenal haistahili kuwa nje ya top 10 je tatizo ni nini ?tatizo ni Kocha hana vision na kaishiwa mbinu mfano wa timu kama West ham Leicester Everton zinagombania top 4 sisi tumekwama wapi?naona board sababu ya ubahili inataka kuendelea na Arteta but I am telling you EPL ya sasa sio ya mwaka 80
Jamani tusitafute mchawi ni nani ,VAR sio mchawi wetu ,kiwango chetu hafifu ndio kimetufikisha hapa na next season usitegemee Arsenal kuwa TOP 10,itakuwa BOTTOM HALF,Arsenal msimu wote huu kwenye kushindania trophies zote hawajahi kuwa kwenye kiwango kuanzia EPL mpaka Europa na katika hatua za mtoano hakuna mechi tulizoshinda zote either tumefungwa au sare na kushinda na Arsenal sababu ya ubahili Arteta ataendelea kuwa kocha na hana presha kwenye hilo ,huo ndio ukweli na hata semi final ya Europa hatashinda mechi zote dhidi ya VillarealVAR itatuua yaani leo tumekosa ushindi kutokana na maamzi ya VAR.
GOLI tulilofunga lilikuwa clean kabisa safi bado hata goli la kusawazisha wameona aibu tu ndo wakakubali.
Tuendelee kuijenga timu yetu na kuipenda daima.
We are the gunners forever.
Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
Mkuu huyu arteta the genius???I don’t trust Spanish coaches.their reasoning is very poor.many if not all are idiots
Brother unanikosha sana.Niliongea last week kuwa Arsenal mpaka sasa natambua haina kocha ila ina baadhi ya wachezaji wazuri na hao wachezaji wakiwa kwemye good Mood ni balaa na wakiwa off Mood hutaamini unachokiona kwenye TV yako but nani wa kulaumiwa?ni Arteta yeye ndiye kakabidhiwa timu ila naona Arsenal inacheza kutokana na experience binafsi za wachezaji hana vision sasa ana tofauti gani na mimi shabiki mfano nkipewa timu?anyway naapa mimi Arsenal akibeba EUROPA league NTAKUNYA kutoka posta hadi Mwenge kwa kikosi hiki trust me!Nawatakia weekend njema wana Gunners wenzangu!kwa ushindi wa Sare wa leo!Natunza Comment yangu!
Mkuu huyu arteta the genius???
Kipindi cha Wenger tukipoteza mechi kama hii watu walisema Mzee anabet, sasa huyu sijui ndio anagamble au ana Mrisho Gambo, anaudhi sana huyu jamaa
Brother unanikosha sana.
Hahahaahahahahaha, utakunya kweli???



uhakika ninao sababu Arsenal sioni akibeba kombe kwa kiwango hikiSiyo suluhu kweli?Mkuu si niliona kuna muda Arsenal ilikuwa inaongoza imekuaje tena umekazwa kamoja?
Juu ya nini wewe mzee wa screenshots?
Huna tofauti na mimi Chifu, uvumilivu ukizidi ndipo chanzo cha cancer, BP, vidonda vya tumbo na hata kupelekea kuparalaizi.Niliongea last week kuwa Arsenal mpaka sasa natambua haina kocha ila ina baadhi ya wachezaji wazuri na hao wachezaji wakiwa kwemye good Mood ni balaa na wakiwa off Mood hutaamini unachokiona kwenye TV yako but nani wa kulaumiwa?ni Arteta yeye ndiye kakabidhiwa timu ila naona Arsenal inacheza kutokana na experience binafsi za wachezaji hana vision sasa ana tofauti gani na mimi shabiki mfano nkipewa timu?anyway naapa mimi Arsenal akibeba EUROPA league NTAKUNYA kutoka posta hadi Mwenge kwa kikosi hiki trust me!Nawatakia weekend njema wana Gunners wenzangu!kwa ushindi wa Sare wa leo!Natunza Comment yangu!
Wewe tulia wewe hakuna kikombe kitakatiza mbele yetu tukiache wewe..Kuna dalili zote mnapigwa final nyie ndo mnatia timu zenu mikosi kwa midomo yenu.
Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app


