curie
JF-Expert Member
- Oct 25, 2020
- 1,064
- 2,487
Nawasalimu kwa jina la ARSENAL; Mnajibu, MATESO YAENDELEEE!View attachment 1775900












Na bado wakina bakayoko na drink water bado wapo wapo Tena kwa Bei chee Sana ..Arteta asifeli Kama vip tuwapige Tenahii timu ina vituko sana. Wenzao wanasajili wachezaji wa maana, wao wanaokota wazee waliojichokea na wajane.




Wanatokea wanawake wakiwa wamevaa jezi ya Arsenal na kanga iliyolowa wakipita mbele ya wanaume wa London huku wanatingisha wowowo wakisema ety London is Redhy red pelekeni kwa waganga wa jadi hukoooooooo
London is blue.






Mwana mdogo vipi?..Pulisic ameamka vizuri?..nataka mwanyooshe hawa City wamezidi mdomo.
Asee wale kenge watajuta ..Kai hatowaacha salama mkuu nakuhakikishia watapata tabu kuingia fainal.Mwana mdogo vipi?..Pulisic ameamka vizuri?..nataka mwanyooshe hawa City wamezidi mdomo.



Kroenke hajawahi weka hata pound 1 toka ameinunua Arsenal,ameifanya Arsenal kuwa mid table team kama wolves. Shida ukiwa shabiki wa kweli basi huwezi kuhama team,mashabiki poleni sana.
Share holders washenzi wa Arsenal walimbania Alisher usmanov kisa tu anatoka east Europe wakaona wamuuzie Kroenke s

leo wanajuta .Usmanov tena ana mkwanja mrefu ($ 18bill) kuliko Kroenke na aliweka hela ndefu Kroenke amuuzie timu,Kroenke akakataa.Mwisho wa siku Usmanov kaona upuuzi akaamua kumuuzia hisa zake 30%,sasa Stan Kroenke anaumiliki wa 100% so tuwe wa pole.Share holders washenzi wa Arsenal walimbania Alisher usmanov kisa tu anatoka east Europe wakaona wamuuzie Kroenke s
dahleo wanajuta .
Pole sana chief, karibu ChelseaUsmanov tena ana mkwanja mrefu ($ 18bill) kuliko Kroenke na aliweka hela ndefu Kroenke amuuzie timu,Kroenke akakataa.Mwisho wa siku Usmanov kaona upuuzi akaamua kumuuzia hisa zake 30%,sasa Stan Kroenke anaumiliki wa 100% so tuwe wa pole.
Msimu ujao nikiona hali ipo hivi na hamna mabadiliko ,nitajipa likizo ya kuwa mshabiki wa Arsenal mpaka mabadiliko yatakapo fanyika.
Si wengine nimepigwa mihuli ya moto yenye nembo ya Arsenal kuhama haitokuja kutokea.Pole sana chief, karibu Chelsea
Kama na Chelsea,wakishuka daraja ntashuka nao.Si wengine nimepigwa mihuli ya moto yenye nembo ya Arsenal kuhama haitokuja kutokea.