Kitu ambacho hamjui timu ikiwa kwenye pick anyplayer acn make it but not this arsenalView attachment 1776153
Hichi kilikua kikosi cha Wenger na kila msimu alikua anashiriki UEFA.. Kocha bado ni amature kufundisha timu kubwa na yenye presha kama Asnoo
Asante kwa kuweka kumbukumbu vyema 👌🏾
Jamaa anaeanyoosha kweliView attachment 1775914
Endelea kutunyoosha baba,mwezetu anaangalia faida kazi tunayo sisi tuliwekeza mioyo tuna ambulia maumivu.
Mngeshuka daraja kabisaNdio uwezo wachezaji wetu umeishia hapo msimu ujao hata Europa hatumo,Arteta hajatumwa bali ubahili wa wamiliki unaendelea kutugharimu.
Nashukuru mechi nimeifuatilia livescore na tushukuru Mungu ile super league haipo lakini kama wazo la Perez lingefanikiwa tungechapika mechi zote tena vipigo heavy.
Nyie ni wolves iliyochangamkaIvi arsenal ni lini mtafurahisha mashabiki wenu? Sisi washabiki wa arsenal kila siku huzuni tuh mpk lini? Yaan game ya leo imeniuma kinoma bç tuh. Ivi wachezaji awawezi kucheza kufa na kupona kabisa ? Why? Najuta kuwa shabiki wa arsenal. NAJUTA!
We endelea tu kujidanganya, mkitinga fainali najitoa Jamii Forums au umwambie Melo anipige Ban la maisha. Eti Pepe kasema
Wakuu basi wapumzisheni hawa watu inatosha, mnataka wajinyongeeArsenal inakera kinoma..View attachment 1776754
Nyie KONDOO si niliwambia kabisa
Haya ni masimango bila chuki, ndo mana Man utd kajpigia zake yule kibonde katulia, ndio maana unayaona haya mamgambo yamehamia huku, hayapo kule yakija yanakuja kwa adabu kabisa co km hivi mnavyofanyiwa nyie kondoo humuTimu kama hii ndio ilitaka kwenda kucheza super league ...
yaani ikacheze na
PSG ,buyern ,Madrid,man city ,juventus ,....
Kweli kabisa ,hivi walikuwa serious kweli kuweka na arsenal ??
Kwanza kwa heshima ya jf ,huu Uzi wa arsenal ushushwe huko chini haufai kupigwa pin huku juu na wanaume wa CL ...
Hii timu ni sawa na kina fulham ,wolves na Sheffield..
Kudadeeek
Na makombe yatakuja Arsenal yakitaka yenyewe