Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Dully ndio alikuwa mtani wangu hapa, kwa sasa ameamua kujichimbia kwenye mahandaki huko makambako.

Sina cha kuwatania wana Arse8, zaidi ya kuwapa pole kwa kipindi kigumu mnachopitia kwa sasa.

Endeleeni kumpa muda Arteta atawavusha, alishawapa makombe 2 (FA & Carabao), why not EPL & UEFA?
Mitano tena kwa kamanda Ateta
 
Arsenal ilishajifia siku nyingi, timu inawategemea wachezaji wazee wanaochwa bure, makombo ya timu zingine ndio mseme mtaunda timu imara
Msipofanya usajili wa maana msimu ujao mtakuwa mnagombea kubaki EPL
Unaota
 
Sielewi watu wanaokuja hapa na kuamua ya kwamba hii game kwa Arsenal ni finito. Turudi nyuma kidogo, msimu huu huu huko huko Europa tulianza na matokeo ya kushtua kama haya.

Rennes alitufunga 3:1 tukawa na goli 1 tu la away wakaja Emirates, kilichotokea mnakijua.

Tukakutana na Olympiacos. Msimu uliopita aliyetutoa mashindanoni ni Olympiacos tulimfunga 1:0 kwake akaja kutufunga 2:1 Emirates. Msimu huu ikawa ni kurevenge tukampiga first leg na second leg akatufunga 1:0 tukasonga mbele.

Tukakutana na Slavia. First leg tukatoka 1:1 second leg Slavia akaoga mvua safi ndiyo tumekutana na Villarreal.

Villarreal katufunga 2:1. Ni ukweli tumecheza mpira mbovu, refa alikua miyeyusho, kocha hajafanya management vizuri ila 2:1 siyo matokeo mabaya kama timu itakua serious.

Mimi nasema bado tuna nafasi ya kusonga mbele. Pepe kasema "Tukutane London" Arteta kasema "Bado tumo kwenye hii game" akaulizwa una uhakika mtapindua meza akajibu "WE ARE ARSENAL"

Wiki ijayo siyo mbali.
 
Sielewi watu wanaokuja hapa na kuamua ya kwamba hii game kwa Arsenal ni finito. Turudi nyuma kidogo, msimu huu huu huko huko Europa tulianza na matokeo ya kushtua kama haya.

Rennes alitufunga 3:1 tukawa na goli 1 tu la away wakaja Emirates, kilichotokea mnakijua.

Tukakutana na Olympiacos. Msimu uliopita aliyetutoa mashindanoni ni Olympiacos tulimfunga 1:0 kwake akaja kutufunga 2:1 Emirates. Msimu huu ikawa ni kurevenge tukampiga first leg na second leg akatufunga 1:0 tukasonga mbele.

Tukakutana na Slavia. First leg tukatoka 1:1 second leg Slavia akaoga mvua safi ndiyo tumekutana na Villarreal.

Villarreal katufunga 2:1. Ni ukweli tumecheza mpira mbovu, refa alikua miyeyusho, kocha hajafanya management vizuri ila 2:1 siyo matokeo mabaya kama timu itakua serious.

Mimi nasema bado tuna nafasi ya kusonga mbele. Pepe kasema "Tukutane London" Arteta kasema "Bado tumo kwenye hii game" akaulizwa una uhakika mtapindua meza akajibu "WE ARE ARSENAL"

Wiki ijayo siyo mbali.
Yeah, Haya ndiyo maneno ya kisoka lazima uoneshe imani na Timu yako hata kama inapitia changamoto gani.

I like the football, I like to watch my team, Chelsea when playing.

Tumependa wenyewe wacha tuoge wenyewe.
 
Yeah, Haya ndiyo maneno ya kisoka lazima uoneshe imani na Timu yako hata kama inapitia changamoto gani.

I like the football, I like to watch my team, Chelsea when playing.

Tumependa wenyewe wacha tuoge wenyewe.
Acha tu. Kuna siku unapishana na Arteta Kkoo unampiga na parachichi la kichwa na asikufanye kitu kwakua anajua anazingua.
 
Wazee wa kukimbia kijiwe chenu naona mmesusa kabisa kurudi hapa, ila nyie jamaa mna mdomo sana.
 
We endelea tu kujidanganya, mkitinga fainali najitoa Jamii Forums au umwambie Melo anipige Ban la maisha. Eti Pepe kasema
Sielewi watu wanaokuja hapa na kuamua ya kwamba hii game kwa Arsenal ni finito. Turudi nyuma kidogo, msimu huu huu huko huko Europa tulianza na matokeo ya kushtua kama haya.

Rennes alitufunga 3:1 tukawa na goli 1 tu la away wakaja Emirates, kilichotokea mnakijua.

Tukakutana na Olympiacos. Msimu uliopita aliyetutoa mashindanoni ni Olympiacos tulimfunga 1:0 kwake akaja kutufunga 2:1 Emirates. Msimu huu ikawa ni kurevenge tukampiga first leg na second leg akatufunga 1:0 tukasonga mbele.

Tukakutana na Slavia. First leg tukatoka 1:1 second leg Slavia akaoga mvua safi ndiyo tumekutana na Villarreal.

Villarreal katufunga 2:1. Ni ukweli tumecheza mpira mbovu, refa alikua miyeyusho, kocha hajafanya management vizuri ila 2:1 siyo matokeo mabaya kama timu itakua serious.

Mimi nasema bado tuna nafasi ya kusonga mbele. Pepe kasema "Tukutane London" Arteta kasema "Bado tumo kwenye hii game" akaulizwa una uhakika mtapindua meza akajibu "WE ARE ARSENAL"

Wiki ijayo siyo mbali.
 
2012
tapatalk_1619952795761.jpeg
 
Mitano tena kwa kamanda Ateta
Arteta is here to stay.

By the way, habari za masiku wana Gunners, kiaje?

Gunners walinikatisha sana tamaa na nikaamua kuwasahau kwa muda kidogo.

Ila kuwa mwana gunners kwahitaji moyo sana.

Nimerudi.
 
Timu ambayo haina mafanikio yoyote makubwa kwenye soka na bado watu wanaamini ni timu kubwa, ushabiki mzigo wallahi

Sent using Jamii Forums mobile app
Arsenal bado ni moja ya timu kubwa sita Uingereza.

Hiyo ni hadhi iliyo nayo.

Nafasi yake katika ligi haibadilishi hadhi yake hiyo.

Hayo mengine ni mambo ya mpito na yataisha.
 
Timu ambayo haina mafanikio yoyote makubwa kwenye soka na bado watu wanaamini ni timu kubwa, ushabiki mzigo wallahi

Sent using Jamii Forums mobile app
INASHANGAZA SANA...YULE WENGER (professor of failure) KAKAA MIAKA 21 HANA HATA MAKOMBE YA MAANA HAYAFIKI MATANO..HALAFU TIMU HAIJAWAHI KUCHUKUA KOMBE KUBWA LA UCL(na haina mpango huo), INAKUWAJE TIMU KUBWA???

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
HAO WAHUNI WANA UZOEFU SIO CHINI YA MIAKA MITANO KWENYE MECHI KUBWA ZA USHINDANI ZA EPL, NGOJA TUONE WALE WATOTO WENU WA FORM FOUR B KAMA WATAFURUKUTA.
20210502_154833.jpg


Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom