Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Villarreal imedefend tofauti na nilivyotarajia.

Hata hivyo 2:1 siyo matokeo ya kukatisha tamaa. Hapo ni kama mna winning team.

Nawazia kikosi kipi kwa Arsenal hii kinatosha kupindua matokeo
 
Admin wa Villarreal
officialsoccermemes-___COQ4ou5l7mz___-.jpg


Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
 
Villarreal imedefend tofauti na nilivyotarajia.

Hata hivyo 2:1 siyo matokeo ya kukatisha tamaa. Hapo ni kama mna winning team.

Nawazia kikosi kipi kwa Arsenal hii kinatosha kupindua matokeo
Arsenal ina nafasi kubwa kwenda fainali kama watakuwa serious kwenye 2nd leg.
 
Arsenal ilishajifia siku nyingi, timu inawategemea wachezaji wazee wanaochwa bure, makombo ya timu zingine ndio mseme mtaunda timu imara
Msipofanya usajili wa maana msimu ujao mtakuwa mnagombea kubaki EPL
 
Kwa viwango vya sasa vya timu zote 4 bila kuyumbisha maneno bingwa ni Manchester United wengine tunasindikiza michuano huo ndio ukweli dk ya 80 Arteta kafanya sub 1 what a mother fucking joke Gdnyt guys
Dah, pole sana mkuu, I feel you.
Yaani wewe wa kukubali mziki wa Manjesta?? This is huge.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom