Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal's first 4 fixtures for Super league:

Arsenal VS Juventus
Arsenal VS Real Madrid
Arsenal VS Barcelona
Arsenal VS Inter Milan
 
Na bado, mpaka maji mtaita mma. Alafu nasikia mmejipendekeza wenyewe kwenye Super league
Kipindi cha Wenger tukipoteza mechi kama hii watu walisema Mzee anabet, sasa huyu sijui ndio anagamble au ana Mrisho Gambo, anaudhi sana huyu jamaa
 
Nilivyomuona Pablo yupo nje, wameanza Gabriel na Bellerin nikajua leo kazi ipo na kweli shughuli tumeipata, kocha huyu Mungu amrehemu ajitambue, anaforce watu tumtukane bila sababu za msingi

Timu ingeshinda leo tungekuwa na point 48 na juu yetu yupo Everton mwenye 49 pia mechi ijayo tunakutana, mwingine juu yupo Spurs ana point 50, ht kama kafocus Europa league akumbuke kuna bad day kama kilichotukuta BAKU, tatizo la huyu kocha sijui nini yani kutuanzishia kina El neny wasio visionary
Kwani kilichowakuta BAKU mlikuwa kwenye bad day au mlizidiwa kisoka?
 
redcarrd-___CN5rR6NgbB4___-.jpg


Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
 
Mashabiki wamepanga kuandamana kushinikiza #kroenke out.

Mashabiki wameuliza na kujibiwa maswali na Josh, mtoto wa Stan.

IMG_20210423_082543.jpg
IMG_20210423_082653.jpg
IMG_20210423_082805.jpg
IMG_20210423_082836.jpg
IMG_20210423_082917.jpg
IMG_20210423_082954.jpg
 
Matchday vs Everton.

Hii ni second leg. First leg Everton alitupiga 2 kwa 1. Katika hiyo game kila mmoja angeweza kushinda ila Everton aliondoka na ushindi.

Leo tunaingia huku tukiwa na majeruhi Alex, Pierre, Martin, Kieran na David. Wengine hapo ni hawawezi kucheza wakati baadhi wanaangaliwa kama wataweza kuwepo kikosini.

Carlo ni kocha mzuri, ameprove mara nyingi uzoefu wake ni silaha, kafanya hivyo kwa Liva na kafanya hivyo kwa United kisha akafanya hivyo kwetu so ni game tight kimtindo ukizingatia kocha ana kazi ya kuwalinda wachezaji wetu kwaajili ya Alhamisi.

First XI nafikiri itakua vyema beki ikimjumuisha Cedric ili mashambulizi yaanzie nyuma na awepo beki anayeweza kuoverlap ili kutanua uwanja. Game iliyopita Elneny hakua mwiba sana nadhani leo anaweza asianze hivyo awepo Dani na Partey katikati au Granit na Partey.

Forward iwe na Pepe, Saka, Emile na Martinell.

Tukutane saa nne.
 
Matchday vs Everton.

Hii ni second leg. First leg Everton alitupiga 2 kwa 1. Katika hiyo game kila mmoja angeweza kushinda ila Everton aliondoka na ushindi.

Leo tunaingia huku tukiwa na majeruhi Alex, Pierre, Martin, Kieran na David. Wengine hapo ni hawawezi kucheza wakati baadhi wanaangaliwa kama wataweza kuwepo kikosini.

Carlo ni kocha mzuri, ameprove mara nyingi uzoefu wake ni silaha, kafanya hivyo kwa Liva na kafanya hivyo kwa United kisha akafanya hivyo kwetu so ni game tight kimtindo ukizingatia kocha ana kazi ya kuwalinda wachezaji wetu kwaajili ya Alhamisi.

First XI nafikiri itakua vyema beki ikimjumuisha Cedric ili mashambulizi yaanzie nyuma na awepo beki anayeweza kuoverlap ili kutanua uwanja. Game iliyopita Elneny hakua mwiba sana nadhani leo anaweza asianze hivyo awepo Dani na Partey katikati au Granit na Partey.

Forward iwe na Pepe, Saka, Emile na Martinell.

Tukutane saa nne.

Injuries tulizonazo ni nyingi. Especially attackers, sijui itakuwaje?
 
Back
Top Bottom