Martinell aingie.
Interesting first half
Anajua kuscore ila shida nidhamu. Kaongeza miaka minne hata hivyo, msimu ujao wengi watapata play time.Balogun ananyimwa playing time, lakini kile kitoto kinaujua mpira
Acha masihara weweMmeishaa
Gemu ngumu sana hii, huyu Unai Emery atataka ku-prove uwezo wake kwetu.
Game sio ngumu kimsingi Maana najua Unai Emery kichwani ana mambo mengi sasa hivi, moja nikuonesha tulikosea kumfukuza, sasa atawapanikisha vijana wake, na tukituliza Presha kama jana watafungika vizuri tu.Gemu ngumu sana hii, huyu Unai Emery atataka ku-prove uwezo wake kwetu.
Siyo tunaanza ugenini?Game sio ngumu kimsingi Maana najua Unai Emery kichwani ana mambo mengi sasa hivi, moja nikuonesha tulikosea kumfukuza, sasa atawapanikisha vijana wake, na tukituliza Presha kama jana watafungika vizuri tu.
Hii level hatuhitaji Mbwembwe nyingi, ni kushinda mbili bila home then tukienda kwao ni kupaki basi. Mimi naomba turudi UCL kupitia huku may be tutasajili vizuri msimu ujao.