Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

1st goal. Pepe
CgAGVmB4kf2ALV1MAFXo-CCa2qo362.gif
 
Gemu ngumu sana hii, huyu Unai Emery atataka ku-prove uwezo wake kwetu.
Game sio ngumu kimsingi Maana najua Unai Emery kichwani ana mambo mengi sasa hivi, moja nikuonesha tulikosea kumfukuza, sasa atawapanikisha vijana wake, na tukituliza Presha kama jana watafungika vizuri tu.

Hii level hatuhitaji Mbwembwe nyingi, ni kushinda mbili bila home then tukienda kwao ni kupaki basi. Mimi naomba turudi UCL kupitia huku may be tutasajili vizuri msimu ujao.
 
Game sio ngumu kimsingi Maana najua Unai Emery kichwani ana mambo mengi sasa hivi, moja nikuonesha tulikosea kumfukuza, sasa atawapanikisha vijana wake, na tukituliza Presha kama jana watafungika vizuri tu.

Hii level hatuhitaji Mbwembwe nyingi, ni kushinda mbili bila home then tukienda kwao ni kupaki basi. Mimi naomba turudi UCL kupitia huku may be tutasajili vizuri msimu ujao.
Siyo tunaanza ugenini?

Either way sioni kama tunatakiwa kupaki basi, mbili bila siyo ishu ngumu kuzipindua. Spurs alimpiga Dinamo mbili bila second leg akafa tatu bila.

So tucheze mpira wetu. Tusipaki basi, timu imeimprove katika defence tofauti na alivyoiacha Unai, Unai anaamini 1-0 siyo ushindi ila anaamini 3-2 ni ushindi naamini timu yake itafocus kuscore kuliko kulinda.

Game za ligi ni morale booster tunazohitaji kwa sasa.
 
Back
Top Bottom