Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Screenshot_2021-04-16-09-56-02-15.jpg
 
Siyo tunaanza ugenini?

Either way sioni kama tunatakiwa kupaki basi, mbili bila siyo ishu ngumu kuzipindua. Spurs alimpiga Dinamo mbili bila second leg akafa tatu bila.

So tucheze mpira wetu. Tusipaki basi, timu imeimprove katika defence tofauti na alivyoiacha Unai, Unai anaamini 1-0 siyo ushindi ila anaamini 3-2 ni ushindi naamini timu yake itafocus kuscore kuliko kulinda.

Game za ligi ni morale booster tunazohitaji kwa sasa.
mi naamini kwenye hii game wakiwepo wachezaji kama Smith, Xhaka,Saka na Odegaard game tutashinda mapema sana
 
Back
Top Bottom