Kwamba King'amuzi cha startimes kina channels za mpira? Naomba ujanjaBackbone ya timu ni viungo, Xhaka nadhani atarudi kwenye nafasi yake. Partey is a good player lakini ana udhaifu wa kukosa concentration, anapoteza pasi. Mchezo wa kesho kitu cha kwanza ni kupata away goal bila kuruhusu wao kugusa nyavu zetu. Tukifungwa nita-ilaani sana timu, Juzi ndio nimeunga Startimes nikijua Europa ndio size yetu this and next year. Tukifungwa itabidi niigawe hiyo Startimes kwa mtu.
kwamba nyie ndo mnaona hiyo idea ita work out kuliko yeye anae kuwa nao kwenye mazoezi...