Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 38,227
- 76,751
Kwamba King'amuzi cha startimes kina channels za mpira? Naomba ujanjaBackbone ya timu ni viungo, Xhaka nadhani atarudi kwenye nafasi yake. Partey is a good player lakini ana udhaifu wa kukosa concentration, anapoteza pasi. Mchezo wa kesho kitu cha kwanza ni kupata away goal bila kuruhusu wao kugusa nyavu zetu. Tukifungwa nita-ilaani sana timu, Juzi ndio nimeunga Startimes nikijua Europa ndio size yetu this and next year. Tukifungwa itabidi niigawe hiyo Startimes kwa mtu.