Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Backbone ya timu ni viungo, Xhaka nadhani atarudi kwenye nafasi yake. Partey is a good player lakini ana udhaifu wa kukosa concentration, anapoteza pasi. Mchezo wa kesho kitu cha kwanza ni kupata away goal bila kuruhusu wao kugusa nyavu zetu. Tukifungwa nita-ilaani sana timu, Juzi ndio nimeunga Startimes nikijua Europa ndio size yetu this and next year. Tukifungwa itabidi niigawe hiyo Startimes kwa mtu.
Kwamba King'amuzi cha startimes kina channels za mpira? Naomba ujanja
 
INJURY UPDATE
Saka and Smith Rowe are available for selection tomorrow. Arteta kasema kwenye interview leo asubuhi
Huyu kocha wetu ana shida ya kigugumizi cha sub. Sub ya Auba na Pepe ilichelewa lakini ndiyo iliyoleta goli.

Na ana shida ya kuamini makinda (ingawa hili nashindwa laumu % zote kutokana na tulipo) ilibidi watu waimbeeee ndiyo Emile akapangwa, wameimbaaaa ndiyo Martinell kapangwa.
 
Huyu kocha wetu ana shida ya kigugumizi cha sub. Sub ya Auba na Pepe ilichelewa lakini ndiyo iliyoleta goli.

Na ana shida ya kuamini makinda (ingawa hili nashindwa laumu % zote kutokana na tulipo) ilibidi watu waimbeeee ndiyo Emile akapangwa, wameimbaaaa ndiyo Martinell kapangwa.
Tunawachezaji wadogo kiumri ila wazuri sana kama Saka, Martinelli na Rowe, Saka huyu afundishwe kufunga atakuwa balaa

Pepe akisaidiana na Saka anaupiga mwingi mno refer game ya juzi pamoja na ile ya Leicester 3-1
 
Ningekuwa Arteta ningejaribu mziki wa Martinelli,Odegaard,Saka na Pepe kwenye game moja nione flow yao kwa pamoja inakuwaje
 
Idea safi.
kwamba nyie ndo mnaona hiyo idea ita work out kuliko yeye anae kuwa nao kwenye mazoezi...
Yaani hata bench la ufundi halijaiona isipokuwa nyie!..
By the way kuchambua mpirani kazi rahisi sana...unatafuta mcheza unamuangushia jumba bovu, then unasubili ratiba ijayo.
 
kwamba nyie ndo mnaona hiyo idea ita work out kuliko yeye anae kuwa nao kwenye mazoezi...
Yaani hata bench la ufundi halijaiona isipokuwa nyie!..
By the way kuchambua mpirani kazi rahisi sana...unatafuta mcheza unamuangushia jumba bovu, then unasubili ratiba ijayo.
Yeye anakaa naye mazoezini na akawa hana imani na Emile mpaka wachambuzi na mashabiki wakiongozwa na Ian Wright walipomshikia bango ampe chansi Emile.

Yeye anakaa nao mazoezini lakini ni mpaka mashabiki tukiongozwa na Tony Adams kumwambia aachane na 3 4 3 ndiyo tukanusurika. First game tunaachana na 3 4 3 ilikua dhidi ya Chelsea na Chelsea alikufa 3.

Yeye anakaa nao mazoezini lakini mashabiki ndiyo wamepressure Martinell aanze. Na ameanza na goli.

Kuchambua mpira kama ni kuangushia watu majumba mabovu basi kila mtu angechambua, hata wewe, lakini ukiona mtu kaja hapa akaandika kwamba fulani na fulani iwe hivi, formation iwe hivi, sub ifanyweje jua kwamba kaangalia games zaidi ya tano za timu zote mbili.

Kaangalia performance overall ya waliokuepo, aina ya opponent wanaekutana naye, skills za waliokuepo n.k.

Uchambuzi wa baada ya mechi ule ndiyo unaousema wewe ambao naamini na wewe unauweza.

Good luck.
 
Yeye anakaa naye mazoezini na akawa hana imani na Emile mpaka wachambuzi na mashabiki wakiongozwa na Ian Wright walipomshikia bango ampe chansi Emile.

Yeye anakaa nao mazoezini lakini ni mpaka mashabiki tukiongozwa na Tony Adams kumwambia aachane na 3 4 3 ndiyo tukanusurika. First game tunaachana na 3 4 3 ilikua dhidi ya Chelsea na Chelsea alikufa 3.

Yeye anakaa nao mazoezini lakini mashabiki ndiyo wamepressure Martinell aanze. Na ameanza na goli.

Kuchambua mpira kama ni kuangushia watu majumba mabovu basi kila mtu angechambua, hata wewe, lakini ukiona mtu kaja hapa akaandika kwamba fulani na fulani iwe hivi, formation iwe hivi, sub ifanyweje jua kwamba kaangalia games zaidi ya tano za timu zote mbili.

Kaangalia performance overall ya waliokuepo, aina ya opponent wanaekutana naye, skills za waliokuepo n.k.

Uchambuzi wa baada ya mechi ule ndiyo unaousema wewe ambao naamini na wewe unauweza.

Good luck.
Uchambuzi kabla ya metch huwa ni ubashili tu, ndo maana hata wewe mara nyingi anakuprove wrong...
 
Yeye anakaa naye mazoezini na akawa hana imani na Emile mpaka wachambuzi na mashabiki wakiongozwa na Ian Wright walipomshikia bango ampe chansi Emile.

Yeye anakaa nao mazoezini lakini ni mpaka mashabiki tukiongozwa na Tony Adams kumwambia aachane na 3 4 3 ndiyo tukanusurika. First game tunaachana na 3 4 3 ilikua dhidi ya Chelsea na Chelsea alikufa 3.

Yeye anakaa nao mazoezini lakini mashabiki ndiyo wamepressure Martinell aanze. Na ameanza na goli.

Kuchambua mpira kama ni kuangushia watu majumba mabovu basi kila mtu angechambua, hata wewe, lakini ukiona mtu kaja hapa akaandika kwamba fulani na fulani iwe hivi, formation iwe hivi, sub ifanyweje jua kwamba kaangalia games zaidi ya tano za timu zote mbili.

Kaangalia performance overall ya waliokuepo, aina ya opponent wanaekutana naye, skills za waliokuepo n.k.

Uchambuzi wa baada ya mechi ule ndiyo unaousema wewe ambao naamini na wewe unauweza.

Good luck.
Arsenal haina kocha ila ina baadhi ya wachezaji mahiri
 
Mimi binafsi naonaga kocha ni mwoga tu maana game tukiingia kuattack huwa tunacheza hasa,ila akisema azuie hapo ndio shida ipo maana utaona mpira wa ajabu mno
Arsenal tunabebwa na wachezaji wachache sana hao ndio wametuweka nafasi ya 9 hadi sasa but kocha hana msimamo mbinu zenyewe za kubahatisha kama anavyosema Castr ni kweli kabisa akipigiwa kelele ndio anashtuka,kuna wachezaji ambao hawastahili kuwa 1st eleven ila utashangaa Arteta yupo nao unabaki kuduwaa ,kiwango cha Arsenal cha sasa yeye ndio chanzo na kesho tukitolewa I am sure Arsenal itapoteza mashabiki wengi sana ,tangu nianze kuipenda Arsenal hatujawah kukosa Michuano ya ulaya
 
Arsenal tunabebwa na wachezaji wachache sana hao ndio wametuweka nafasi ya 9 hadi sasa but kocha hana msimamo mbinu zenyewe za kubahatisha kama anavyosema Castr ni kweli kabisa akipigiwa kelele ndio anashtuka,kuna wachezaji ambao hawastahili kuwa 1st eleven ila utashangaa Arteta yupo nao unabaki kuduwaa ,kiwango cha Arsenal cha sasa yeye ndio chanzo na kesho tukitolewa I am sure Arsenal itapoteza mashabiki wengi sana ,tangu nianze kuipenda Arsenal hatujawah kukosa Michuano ya ulaya
Siyo kiwango cha Arsenal cha sasa bali ni nafasi ya Arsenal ya sasa yeye ndiyo chanzo.

Local success imekua critical kwa Arsenal. Zile games tulizopoteza mfululizo zimetuweka hapa, maajabu yake alikua radhi kubadili strikers na kuwapa chansi Balogun na Nketiah lakini hakutaka kumpa chansi kinda AM.

Nafasi ambayo ndiyo ilitupeleka sokoni kusumbuana na Aouar.
 
Game night tonight.

Bado Arsenal inashindwa kuanza na mentality ya ushindi Slavia hajapoteza mechi yoyote kati ya 10 alizocheza msimu huu. Arsenal hata next stage kumfuata Slavia tulipigwa 1 na Olympiacos ndiyo tukasonga mbele.

Kisha liva akatupiga 3 so games tano za nyuma yetu tumefungwa na tumesuluhu kwa sababu ya timu kushindwa kuanza na mguu wa ushindi. Timu yetu inacheza mpira wa kusimama, sideway passes, back passes na krosi, goli la kwanza la Lacazette dhidi ya Sheffield juzi lilikua ni demonstration ya nini mnaweza achieve mkiamua kucheza one two, pasi za kwenda mbele na kutafuta chumba.

Slavia ana goli la ugenini logically wanaweza amua kupaki basi as hata 0 - 0 inawavusha, so wanaweza resort kwenye game play kama ya mechi iliyopita. Ni sisi ndiyi tunatakiwa kua aggressive, considering tulipo kwenye ligi na hali ilivyo Europa tunahitaji ushindi wa leo.

Juzi kocha hakumchezesha Cedric wala Bellerin nafikiri ni kwavile alilenga hii game ya leo attacks zifanywe na full backs, Cedric na Bellerin, dirty worker Xhaka nahisi atarudishiwa namba yake,

Vyovyote itavyokua ushindi wa leo utategeme forward yetu kuliko hata defence.
 
Arsenal: Leno, Chambers, Holding, Gabriel, Xhaka, Ceballos, Partey, Pepe, Smith Rowe, Saka, Lacazette.

Subs: Ryan, Hillson, Bellerin, Gabriel, Willian, Cedric, Nelson, Elneny, Nketiah, Martinelli, Balogun, Azeez
 
Back
Top Bottom