OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,933
- 25,245
Watu kama sisi hatufai kutowa utabiri, tukisema Utaliwa ..utaliwa tuHahaha una Villa ..jiandae kukalia tena![]()



Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Watu kama sisi hatufai kutowa utabiri, tukisema Utaliwa ..utaliwa tuHahaha una Villa ..jiandae kukalia tena![]()



Hahahahahaha kimeumanaMgekuwa wanawake ollachuga na kitoabu, mngekuwa kama ngoma ya kijiji, kila mtu anajipigia kwa wakati wake, mnavyopenda kuzurura kwenye majukwaa ya wanaume







Arsenal's atafungwa kama atapata red card 2 kama Tuesday otherwise Aston villa ajiandae kutatuliwa mark my words saa 11 uje na maneno mengine







Hii ni kaza ya Aaron arsenal wewe ...acha kuingilia majukumu ya watuArsenal XI: Ryan, Bellerin, Holding, Gabriel, Cedric, Thomas, Xhaka, Saka, Smith-Rowe, Pepe, Lacazette.
Substitutes: Ceballos, Odegaard, Willian, Runarsson, Aubameyang, Chambers, Pablo Mari, Elneny, Martinelli.


Naona mulishindaNilikuwa nahofia kuhusu huyo Runarsson bora hajapangwa,Tunashinda game hii


Hahaaaha! Afu na mimi nakulala wewe Home and Away, hujioni kuwa ni mzigoHiyo timu yako Bila Panadol Hulali.
Imagine Aston Villa amekulala home and away.
Hahaah Mimi nashinda kwako tu kibonde wangu,bao tatu swaaafi
Epl nzima ina wanaume watatu. Chelsea, Liva na man u. Mliobaki ni wavulana.Hahaaaha! Afu na mimi nakulala wewe Home and Away, hujioni kuwa ni mzigo
wenzio awajaamka wew mbn umetoka nje kwan msba umeishaHahaaaha! Afu na mimi nakulala wewe Home and Away, hujioni kuwa ni mzigo
Cheltako na Nyumbu tunajipigia na kuwageuza tunavyotaka, vibonde wetu wa kudumuEpl nzima ina wanaume watatu. Chelsea, Liva na man u. Mliobaki ni wavulana.
This time jiandae kubakwa na hichi kitimu chako.
Mkuu,Mimi km Arsenal fan nikifungwa na Nyumbu au Cheltako nitaamini kweli tupo vibaya, lkn hawa wengine naona poa tu hahahaahawenzio awajaamka wew mbn umetoka nje kwan msba umeishaView attachment 1696668
Mkuuu umanifanya nimecheka sana HAKUWEPO ALIKUWA KWENYE NGOMA ZA JADI BABA YAKW KAPATA DAWA YA KORONA HUKO KWAOKuna yule wanamuitaga Piere Alimiliki Albamu Yangu hivi hajacheza leo![]()
Kwa arsenal yeah. Kwa liver I don't think ni ngumu hivyo. Two seasons za mafanikio makubwa kwa liver inabidi lazima timu ibadilishwe yote muanze upyaNipo Mkuu, naona ligi imekuwa ngumu sana.
Mkuu mysterio salama?Mimi siwaungi mkono castr na gspain kwamba Arteta ana uwezo wa kuibadili Arsenal. Something needs be done soon rather than later
Liverpool nadhani ni injury crisis tu kwenye defence ndiyo inawatesa, VVD, Joel Matip na Joe Gomez wote wapo sidelined through injuries.Kwa arsenal yeah. Kwa liver I don't think ni ngumu hivyo. Two seasons za mafanikio makubwa kwa liver inabidi lazima timu ibadilishwe yote muanze upya
Unataka kuniambia Arsenal haina uwezo wa kumchukua Tuchel when he was available? Rafa, Luiz Henerick, Ranieri? Sasa hivi we have multiple of crises; discipline, Auba and Lacca's talents killed by the current coach. where are we heading to?Mkuu mysterio salama?
Mara nyingi huwa najitahidi kuwa clear kwamba KWA HALI YA SASA YA ARSENAL, Arteta is the best option we can afford huwa sina maana ni mtu sahihi kuliko mwingine, statement yangu huwa ni conditional muda wote!!
Hatuna uwezo wa kuajiri high profile coach, squad yetu inahitaji overhaul ya maana na kifedha tupo weak kiasi na pia hatupo hata Uefa ukichanganya na effect za Covid-19 ndio shida kabisa.
Kabla hata Arteta hajapewa timu nilicomment humu nikasema kocha pekee Arsenal inaweza kumuajiri baada ya Emery ni huyu na sababu kubwa niliyotoa ni pesa na kuna watu walinipinga nakumbuka.
Kwa Arteta na Arsenal ni a kind of win-win situation, kwake ni 'dream job' na kwetu ni 'affordable', na nadhani hata kama ataondolewa Arteta tutatafuta kocha ambaye ni 'average' mwenye kuweza kuleta 'surprises'.