Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal XI: Ryan, Bellerin, Holding, Gabriel, Cedric, Thomas, Xhaka, Saka, Smith-Rowe, Pepe, Lacazette.

Substitutes: Ceballos, Odegaard, Willian, Runarsson, Aubameyang, Chambers, Pablo Mari, Elneny, Martinelli.
Hii ni kaza ya Aaron arsenal wewe ...acha kuingilia majukumu ya watu

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
DAAAH! Mbona sisi tunarudi tena kuwa vibonde wa ligi? 😕😕
 
Hahaaaha! Afu na mimi nakulala wewe Home and Away, hujioni kuwa ni mzigo
Epl nzima ina wanaume watatu. Chelsea, Liva na man u. Mliobaki ni wavulana.

This time jiandae kubakwa na hichi kitimu chako.
 
Hahaaaha! Afu na mimi nakulala wewe Home and Away, hujioni kuwa ni mzigo
wenzio awajaamka wew mbn umetoka nje kwan msba umeisha
IMG-20201220-WA0007.jpg
 
Epl nzima ina wanaume watatu. Chelsea, Liva na man u. Mliobaki ni wavulana.

This time jiandae kubakwa na hichi kitimu chako.
Cheltako na Nyumbu tunajipigia na kuwageuza tunavyotaka, vibonde wetu wa kudumu
 
Mimi siwaungi mkono castr na gspain kwamba Arteta ana uwezo wa kuibadili Arsenal. Something needs be done soon rather than later
 
Mimi siwaungi mkono castr na gspain kwamba Arteta ana uwezo wa kuibadili Arsenal. Something needs be done soon rather than later
Mkuu mysterio salama?

Mara nyingi huwa najitahidi kuwa clear kwamba KWA HALI YA SASA YA ARSENAL, Arteta is the best option we can afford huwa sina maana ni mtu sahihi kuliko mwingine, statement yangu huwa ni conditional muda wote!!

Hatuna uwezo wa kuajiri high profile coach, squad yetu inahitaji overhaul ya maana na kifedha tupo weak kiasi na pia hatupo hata Uefa ukichanganya na effect za Covid-19 ndio shida kabisa.

Kabla hata Arteta hajapewa timu nilicomment humu nikasema kocha pekee Arsenal inaweza kumuajiri baada ya Emery ni huyu na sababu kubwa niliyotoa ni pesa na kuna watu walinipinga nakumbuka.

Kwa Arteta na Arsenal ni a kind of win-win situation, kwake ni 'dream job' na kwetu ni 'affordable', na nadhani hata kama ataondolewa Arteta tutatafuta kocha ambaye ni 'average' mwenye kuweza kuleta 'surprises'.
 
Kwa arsenal yeah. Kwa liver I don't think ni ngumu hivyo. Two seasons za mafanikio makubwa kwa liver inabidi lazima timu ibadilishwe yote muanze upya
Liverpool nadhani ni injury crisis tu kwenye defence ndiyo inawatesa, VVD, Joel Matip na Joe Gomez wote wapo sidelined through injuries.

Game ya jana kwa mfano wamecheza bila recognized central defenders, Farbinho na Hendo ndio walikaa pale nyuma. Wale waliosajili January nadhani bado hawajawa integrated kwenye kikosi vizuri.
 
Mkuu mysterio salama?

Mara nyingi huwa najitahidi kuwa clear kwamba KWA HALI YA SASA YA ARSENAL, Arteta is the best option we can afford huwa sina maana ni mtu sahihi kuliko mwingine, statement yangu huwa ni conditional muda wote!!

Hatuna uwezo wa kuajiri high profile coach, squad yetu inahitaji overhaul ya maana na kifedha tupo weak kiasi na pia hatupo hata Uefa ukichanganya na effect za Covid-19 ndio shida kabisa.

Kabla hata Arteta hajapewa timu nilicomment humu nikasema kocha pekee Arsenal inaweza kumuajiri baada ya Emery ni huyu na sababu kubwa niliyotoa ni pesa na kuna watu walinipinga nakumbuka.

Kwa Arteta na Arsenal ni a kind of win-win situation, kwake ni 'dream job' na kwetu ni 'affordable', na nadhani hata kama ataondolewa Arteta tutatafuta kocha ambaye ni 'average' mwenye kuweza kuleta 'surprises'.
Unataka kuniambia Arsenal haina uwezo wa kumchukua Tuchel when he was available? Rafa, Luiz Henerick, Ranieri? Sasa hivi we have multiple of crises; discipline, Auba and Lacca's talents killed by the current coach. where are we heading to?
 
Back
Top Bottom