Sisi ndio Wolves sasaaSisi Mbweha wa jangwani tumejipanga ipasavyo.
Point tatu uhakika leo
Wolves 2-1 Arse8
Come on Wolves![]()









Hahaaaaa! Salama ndugu. Napita tu kuwasalimia...TUMEHUJUMIWA


Hahahahahaha sisi Arse8 halisi tunasema Arteta mitano tenaLabda itakua anamzungumzia Godfrey wa kijiwe sugu, yule muuza bangili za chuma.





Muda siyo mrefu Tunahamishia msiba maeneo ya kule OT.Wolver endeleeni kukaza hivyo hivyo, hata sare tamu tu.
Hahahaha dakika ya ngap mkuu wangu naona baad ya wewe kufanya sub matokeo yamechange sasa munaongoza 2-3Napendekeza smith Rowe out, Lacazette out, Gabriel in, Aubameyang in

Iteni moderator tupige uzi huu ban haraka sana Arse8 itasababisha vifo vya kujitakia hapa..naona watu wakijinyonga hapaMechi ikiisha tumeshinda Mungu atakuwa ametupenda sana otherwise tutafungwa au sare na hatuna mshambuliaji mpaka beki watapanda kufunga
Partey ana yellow card labda wolves wapate red card ,mechi nyingi msimu tumezipoteza kisenge sababu ya red card
Naandika tu tunapigwa la pili
Next matches Aston villa Leeds Manchester Citykwa usenge na ukumanina wa kupata red cards tutajikuta kule kule tulipotoka



