Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mechi ijayo na Aston Villa.
Bibi yangu Nyamkumba hamtoki.
Mutachezea bao 3 kama mumesimama.
 
Adjustments.jpg
 
Habari! Habari! Habari!

Umoja wa mashabiki wa Manchester United Udambwi Udambwi tunapenda kuutangazia Umma wa Watanzania kuwa hatujali kipi kilichotokea Jana.

Sisi tulishazoea kuwazabua Wale wenye Ngebe vipigo kama hivi, waulizeni Arsenal kwanza watawapa majibu mazuri.

Eti! tuchelewe kuamka? Kwa lipi sasa? Kwa hivyo Vigoli Tisa tu, Vigoli ambavyo hata Arsenal tuliwahi kuwabomomoa ila Southampton akaona yeye ajiongeze kidogo.

Halafu tuwaambie tu, tumeshuka Kileleni kwa dharula maalumu, kule Juu kuna Baridi sana hivyo basi tumeshuka chini mara moja ili kununua Makoti.

Siku si nyingi tunarudi tena Juuuu halafu tuwaone wale wenye Ngebe wakitupigia Kelele, swala la kupewa Ulinzi bado liko palepale
Afisa Mhamasishaji Manchester United Udambwi Udambwi.
 
Habari! Habari! Habari!

Umoja wa mashabiki wa Manchester United Udambwi Udambwi tunapenda kuutangazia Umma wa Watanzania kuwa hatujali kipi kilichotokea Jana.

Sisi tulishazoea kuwazabua Wale wenye Ngebe vipigo kama hivi, waulizeni Arsenal kwanza watawapa majibu mazuri.

Eti! tuchelewe kuamka? Kwa lipi sasa? Kwa hivyo Vigoli Tisa tu, Vigoli ambavyo hata Arsenal tuliwahi kuwabomomoa ila Southampton akaona yeye ajiongeze kidogo.

Halafu tuwaambie tu, tumeshuka Kileleni kwa dharula maalumu, kule Juu kuna Baridi sana hivyo basi tumeshuka chini mara moja ili kununua Makoti.

Siku si nyingi tunarudi tena Juuuu halafu tuwaone wale wenye Ngebe wakitupigia Kelele, swala la kupewa Ulinzi bado liko palepale
Afisa Mhamasishaji Manchester United Udambwi Udambwi.
Namba sita inawasubiria. Inabidi mkaze kamba kweli kweli wazee wa ManSix United
 
Hata baada ya kuchwa, bado mtamlaum Luiz kwa yaliyo tokea jana?

Ukiangalia replays zinaonesha ni Willian Jose ndiye aligonga goti la Luiz wakati anataka kushoot.

Technically hapakuwa na attempt yoyote from Luiz ya kufanya tackling whether intentionally or unintentionally.

Hata km ingekuwa ni technical foul bado Luiz hakustahili red card sabab hakuwa na nia ya kufanya hiyo foul.

Labda ninachokiona hapa Luiz anahukumiwa kwa historia na fans wa Arsenal (reputational judgement) lakini kwa issue ya jana tena kwa zama hizi za VAR nashangaa hakuna anayemlaumu refferee wala VAR official.

 
Again, watu wanamtukana Leno kwa sababu ipi?

Mbona ni jambo rahisi tu kujua kuwa team ina red card, meaning one man down. Kwa hiyo at a certain point of the game one player will just find himself in a stretch to cover a 'ghost' position created by the resulting deficit.

Leno was by no means in an exception of the situation above, so he went out of the box to cover the gap!! He unfortunately produced such a foul, nayo pia tunalaumu?

Technically red card ya Leno ni domino effect ya first red card ambayo nayo ndiyo hivo tena.

My take:
Niliwahi kushauri humu na nitarudia tena, kabla ya kujivika ushabiki tujifunze angalau rules of the game na siyo mbaya pia ukijifunza abcs za soka itakusaidia kumudu mihemko ya kishabiki.
 
Again, watu wanamtukana Leno kwa sababu ipi?

Mbona ni jambo rahisi tu kujua kuwa team ina red card, meaning one man down. Kwa hiyo at a certain point of the game one player will just find himself in a stretch to cover a 'ghost' position created by the resulting deficit.

Leno was by no means in an exception of the situation above, so he went out of the box to cover the gap!! He unfortunately produced such a foul, nayo pia tunalaumu?

Technically red card ya Leno ni domino effect ya first red card ambayo nayo ndiyo hivo tena.

My take:
Niliwahi kushauri humu na nitarudia tena, kabla ya kujivika ushabiki tujifunze angalau rules of the game na siyo mbaya pia ukijifunza abcs za soka itakusaidia kumudu mihemko ya kishabiki.
Mkuu umenena vyema kabisaaa...yule adama traore kamsumbua sana cedric, kama mara mbili anamzunguka na chenga ile ile.
Binafsi simlaumu kipa hata kidogo na pia siwezi kumlaumu kocha hata kidogo japo tunahitaji left back ya uhakika,
 
Back
Top Bottom