ARV
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 5,528
- 7,923
WA HALI YA JUU SANA, INAWEZEKANA KUNA RED CARD YA TATU HAPAKifuatacho ni Ubakaji wa kikatili sana.




WA HALI YA JUU SANA, INAWEZEKANA KUNA RED CARD YA TATU HAPAKifuatacho ni Ubakaji wa kikatili sana.




VIPI HALI YAKO, UMEZIMA DATA AU TVRoy Kean aliwahi kusema kuwa hakuna namna Saka akashindwa kupewa tuzo ya mchezaji bora chipukizi msimu huu..
Huyu dogo ni
Sipati picha kama angekuwepo kwenye game v Man Utd.



Ongeza sauti
Saa tano nakuja kulala huko huko msibani. Soton hamuachi mtu
YES, YA RED CARD TUULEO UWANJANI TUNAINGIA NA MATOKEO YA AINA MOJA TU.
WIN
#COYG
Hiyo lugha ya machimbo lazima iwachanganye
Tulia uchezee mpata.Tumerudi kulekule lack of discipline




muda wowote unaona mechi mnashinda janga linatokea
"Kitambo babu kipindi hicho ukisuka wanasema unaliwa boga."Kuna wimbo wa Fid Q unaitwa imeisha hiyoo Ft Lordeyes ndio nausikiliza hapa
Mysterio umeona lugha za walevi hizi?
TUMEHUJUMIWA