magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 13,271
- 31,846
Akileta source nipigwe ban.Mkuu usije lets habar za vijiweni, source ya habar yako kama hutojal.
Akileta source nipigwe ban.Mkuu usije lets habar za vijiweni, source ya habar yako kama hutojal.
Kaka upo?Kwahiyo hata tukishinda leo hatuongozi ligi wala nini?
Sioni wakuizuia Manchester United kuchukua 3 points, Sio Sheffled wala aseno.
Mustafi na Ozil ni waislamu pekee Arsenal? Hakuna wengine waliowahi kucheza pale?Wanaouliza sakata la Aubameyang: Mama yake Aubameyang hatunae tena.
Wanaouliza sakata la Mustafi: Project aliyopewa Arteta ni kuhakikisha wachezaji wenye mlengo wa Kiislam kuondoka.
Man utd alivyokaa juu pale alihisi as if ameshakuwa bingwa tayari. Na next game vs Arsenal atapigwa I bet.Sheffield katukimbizia mtu
Jamaa yako kazingua sana!Mustafi na Ozil ni waislamu pekee Arsenal? Hakuna wengine waliowahi kucheza pale?
Nyuzi zote zinamtafuta katoweka.Man utd alivyokaa juu pale alihisi as if ameshakuwa bingwa tayari. Na next game vs Arsenal atapigwa I bet.
Na wenzetu michezo kwao inasimamiwa na taasisi ambazo zisingeacha hili lipite.Uongo sana huu
Granit Xaka ni musilam mhamiaji toka Albania kuhamia Uswisi baadanya baba yake aliyekuwa mwana siasa kutoroka jela na hakosi msikitini,he is devoted muslim yaan sio muislam jina bali ni yule anaye swali swala 5
Mbona anacheza games zote?Muacheni kocha aamue nani anafaa ktk mipango yake
Saivi atakuwa amejificha huko mbali haamini alichofanywa Jana.Nyuzi zote zinamtafuta katoweka.
Majogoo hamjawahi kuvuka kwenda raundi ya tano FA tangu Klopp aje. Na safari hii alikua na hamu na kikombe chochote kiwafute machozi ila wazee jiandaeni.Wakulangwa naombeni mnipigie Man U Jmosi,uwezo huo mnao
Lkn bado hapa hamyaogopi majogoo?
Tatizo ni kusoma na usielewe, hapa nitamjibu na Castr swali ulilofanyia quote hii. Nimewataja wote even Xhaka kwa sababu ni moja ya mshakaji wangu wa karibu.Jamaa yako kazingua sana!
Granit Xaka ni muslim mhamiaji toka Albania to Uswisi baada ya baba yake aliyekuwa mwana siasa kutoroka jela na huwa hakosi msikitini,he is devoted muslim yaan sio muislam jina bali ni yule anaye swali swala 5
Mbona anacheza games zote?Muacheni kocha aamue nani anafaa ktk mipango yake
Castr mimi sifungamani na vyama vyovyote vya kale wala kisasa. Tumaini langu nikuona misingi ya haki, usawa, wajibu na heshima juu ya wengine ikiwepo imani za wahusika.Na wenzetu michezo kwao inasimamiwa na taasisi ambazo zisingeacha hili lipite.
Robin Van Persie ni muislam. Na alikua tegemeo Arsenal mpaka alipoamua kwenda united.
Abou Diaby.
Marouane Chamakh.
Hao ni kwa haraka ninaoweza wakumbuka. Klabu miaka yote imepokea waislamu. Ina shareholders waislamu, ina shabiki muislam, Osama, pengine isajorsergio hatofikia kujitoa kama alivyojitoa Osama kwa ajili ya uislam.
Arteta kacheza na wakina Ozil, Elneny, Xhaka, Chamakh na hajawahi kukorofishana na yeyote. Bodi ni ile ile leo object iwe kuannihilate waislamu badala ya kushinda makombe?
Umesema Edu ana hila.Tatizo ni kusoma na usielewe, hapa nitamjibu na Castr swali ulilofanyia quote hii. Nimewataja wote even Xhaka kwa sababu ni moja ya mshakaji wangu wa karibu.
Naandika tulipo na tunakoenda (Under Edu na Arteta) ambao wao wana hila sio Arsene Wenger aliyetengeneza familia kwa miaka 20+ hawa wanakuja kuvuruga.
Currently wachezaji wenye mlengo wa Kiislam Arsenal hawatakiwi kuonekana.
Kukorofishana kwa ajili ya dini.Castr mimi sifungamani na vyama vyovyote vya kale wala kisasa. Tumaini langu nikuona misingi ya haki, usawa, wajibu na heshima juu ya wengine ikiwepo imani za wahusika.
Nilifanya tempo Arsenal Digital under Wenger era Director of digital Clark aliamini usawa regardless of age, title, belief or whatever. Nafahamu Arsenal inside. Protocols and Chevcols, Arsenal ya Wenger na Gazidis was far better (Kama taasisi) tatizo limeanza after Edu appointee na kisha Arteta.
Arteta ajawahi kukurofishana na yeyote? Arteta amekwisha korofishana na wachezaji wanne Arsenal. Raul Matt alisuggest wachezaji wenye historia na kutumikia Arsenal wapewe Honor ni huyo huyo Arteta anakataa.
Kinachonishangaza nikusema 'For Nothing' wakati wakicheza hamkuwahi kupata matokeo? Leo ndio imekuwa for nothing?na hiyo kuwa kuna project ya wachezaji waislamu kuondolewa ,umeitoa wap? nan asiyejua mustafi alishachokwa toka enzi za wenga kwa kuchomesha, na analipwa mshahara mkubwa for nothing....
kilichopo ni kuondoa wachezaji wote wenye mishahara mikubwa na hawana impact,ili timu iweze kupunguza wage bills, na kuweza kusajiri summer bila kujibana,
mustafi, luiz, ozil, sokratis, kolasinac, toreira, saliba, guendouz, hawapo kwenye mipango ya arteta kuanzia msimu ujao...je wote hao ni waislamu, ?
pepe na willian, huenda wakavumiliwa....labda ofa nzuri zikija watauzwa
Chanzo kikiwa ABC Sports nawao utatakiwa kuwauliza chanzo ni nini?Akileta source nipigwe ban.
Niliandika awali mlolongo huu kufikia malengo Özil, Kolasinac, Mustafi, Elneny, Xhaka na Pepe.Umesema Edu ana hila.
Unai alimtaka Wilfried Zaha.
Edu akamleta Nicolas Pepe.
Nicolas Pepe ni muislam.
Nje mtaambiwa "Huyu aingi katika mfumo wangu" Ndani "Lazima niwakandamize Y na X".Kukorofishana kwa ajili ya dini.
Nililenga hilo.
Tunashare mtazamo juu ya usawa na haki.Castr mimi sifungamani na vyama vyovyote vya kale wala kisasa. Tumaini langu nikuona misingi ya haki, usawa, wajibu na heshima juu ya wengine ikiwepo imani za wahusika.
Nilifanya tempo Arsenal Digital under Wenger era Director of digital Clark aliamini usawa regardless of age, title, belief or whatever. Nafahamu Arsenal inside. Protocols and Chevcols, Arsenal ya Wenger na Gazidis was far better (Kama taasisi) tatizo limeanza after Edu appointee na kisha Arteta.
Arteta ajawahi kukurofishana na yeyote? Arteta amekwisha korofishana na wachezaji wanne Arsenal. Raul Matt alisuggest wachezaji wenye historia na kutumikia Arsenal wapewe Honor ni huyo huyo Arteta anakataa.