Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hii issue ya kina mustafi haiwezi kuwaharibia kwenye maswala ya kisoko?
Mustafi image yake sio kubwa naweza kusema impact ni ndogo. Maana Mustafi mikataba mingi ni binafsi (Mercedes-Benz, Nike, Armani na Louis Vuitton).

Katika masoko haina athari,. Sema Mustafi ni moja ya wale wachache watetezi wa haki za binadamu.
 
IMG_0643.jpg


NI OFFICIAL.

Odegaard ni Gunner until June, 2021

#COYG
 
Apangwe mechi na nyumbu,akiwepo Tierney mzee wa majaro na mwamba Partey shughuli mbona nzito

Kabisaa! Wamfanyie assessment mapema, japokuwa mambo huenda taratibu kuliko tunavyofikiria..

Utakuja kusikia game na nyumbu imefika, Arteta akatuambia dogo hajafanya mazoezi na timu.
 
Scenarios 2.

Ya kwanza Emile anapelekewa mpira ambapo anajikuta yeye na kipa na mabeki wawili waliokua wanakimbilia kwenye box ni kipa tu ndiye alikua anamfuata Emile.

Emile anatoa pasi kwenye boksi ambapo hakukua na mchezaji yeyote wa Arsenal zaidi ya wale mabeki.

Ya pili Saka anapelekewa mpira mabeki watatu wanakimbilia kwenye boksi mmoja anamfuata Saka. Saka anatulia na mpira kisha anapiga mkasi kumtisha beki ambaye anamtegeshea mguu Saka na Saka anaenda chini. Haikua faulo kwakua ilikua offside.

Saa hii utakua umeelewa niliposema outstanding strength ya Emile ni passing.
 
Kwenye uzi wenu niliwahi kuandika hivi

United kua wa kwanza ni kama kumuona tembo juu ya mti. Wote hatujui kapandaje ila tuna uhakika atashuka.

Now to be fair mnaongozwa na bahati kipindi hichi, mnafuatwa na game nyanya baada ya Arsenal hamna majeruhi so mko tayari kushika tena nafasi ya kwanza au siyo?

Hehehe, sheffield ikitoka kwenu inaenda kwa City, leo leicester akishinda united inashuka mpaka nafasi ya tatu. Kisha ili iwe ya kwanza itabidi imfunge Arsenal.

Kazi au?
Kwahiyo hata tukishinda leo hatuongozi ligi wala nini?

Sioni wakuizuia Manchester United kuchukua 3 points, Sio Sheffled wala aseno.
 
Kwahiyo hata tukishinda leo hatuongozi ligi wala nini?

Sioni wakuizuia Manchester United kuchukua 3 points, Sio Sheffled wala aseno.
Leo sioni kama mtakosa points tatu. Ndiyo maana nikasema Sheffield akitoka kwenu anaenda kwa City Jmosi.

So anawapa nyinyi points kisha anaenda kuwapa points City.

Arsenal ya sasa inaweza fungwa na yeyote. Lakini Arsenal ya sasa inaweza kumfunga yeyote pia.

Kwahiyo chonga ngenga ila wewe na chelsea mnajijua mbele yetu.
 
Leo sioni kama mtakosa points tatu. Ndiyo maana nikasema Sheffield akitoka kwenu anaenda kwa City Jmosi.

So anawapa nyinyi points kisha anaenda kuwapa points City.

Arsenal ya sasa inaweza fungwa na yeyote. Lakini Arsenal ya sasa inaweza kumfunga yeyote pia.

Kwahiyo chonga ngenga ila wewe na chelsea mnajijua mbele yetu.
Funika kombe mwana haram apite, J/Mos sio mbali, mchawi uhai tu.
 
Back
Top Bottom