Nilimaanisha akiwa mchezajiNje mtaambiwa "Huyu aingi katika mfumo wangu" Ndani "Lazima niwakandamize Y na X".
Nilimaanisha akiwa mchezajiNje mtaambiwa "Huyu aingi katika mfumo wangu" Ndani "Lazima niwakandamize Y na X".
Sokratis siyo muislamu.Niliandika awali mlolongo huu kufikia malengo Özil, Kolasinac, Mustafi, Elneny, Xhaka na Pepe.
Sokratis papa aliyekuwa na experience aliachwa na kuwekwa Saliba ambaye hakutaka hata kumtumia unafahamu kwa nini?
NonsenseTatizo ni kusoma na usielewe, hapa nitamjibu na Castr swali ulilofanyia quote hii. Nimewataja wote even Xhaka kwa sababu ni moja ya mshakaji wangu wa karibu.
Naandika tulipo na tunakoenda (Under Edu na Arteta) ambao wao wana hila sio Arsene Wenger aliyetengeneza familia kwa miaka 20+ hawa wanakuja kuvuruga.
Currently wachezaji wenye mlengo wa Kiislam Arsenal hawatakiwi kuonekana.
Kaka unaendeleaje?Naruhusiwa ku comment chochote?
PumbaNiliandika awali mlolongo huu kufikia malengo Özil, Kolasinac, Mustafi, Elneny, Xhaka na Pepe.
Sokratis papa aliyekuwa na experience aliachwa na kuwekwa Saliba ambaye hakutaka hata kumtumia unafahamu kwa nini?
NdiyoOdegaard atakuwa anacheza nafasi ya Smith-Rowe #10 na kina Pepe na Willian kulia?
Kukorofishana kwa ajili ya dini.
Nililenga hilo.
Naruhusiwa ku comment chochote?
Heshima? DahHuu mjadala wa dini kwa wachezaji ni wa kitoto, hebu jadilini hoja za maana zitakazowajengea heshima zenu