Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,504
- 28,693
haisemwi ila tetesi zinadokeza kuna ishu ya taraka ktk familia yakeAuba kapatwa na shda gani?
haisemwi ila tetesi zinadokeza kuna ishu ya taraka ktk familia yakeAuba kapatwa na shda gani?
partey hajaumia sana, emile pia, ila tyra odegaard kaja muda muafaka...Kwenye uzi wenu niliwahi kuandika hivi
United kua wa kwanza ni kama kumuona tembo juu ya mti. Wote hatujui kapandaje ila tuna uhakika atashuka.
Now to be fair mnaongozwa na bahati kipindi hichi, mnafuatwa na game nyanya baada ya Arsenal hamna majeruhi so mko tayari kushika tena nafasi ya kwanza au siyo?
Hehehe, sheffield ikitoka kwenu inaenda kwa City, leo leicester akishinda united inashuka mpaka nafasi ya tatu. Kisha ili iwe ya kwanza itabidi imfunge Arsenal.
Kazi au?
Kt jana angeweza kucheza ila naona kama walichukua tahadhari kuelekea trh 30, emile, na partey....partey ni just clamp, emile ndio kuna wasiwasi kidogo... but odegaard kaja muda muafakaTop 4 ni ngumu. Angalia games tano zinazofuata
Arsenal V man united.
Wolves V Arsenal
Aston Villa V Arsenal
Arsenal V Leeds
Arsenal V City
Katika hawa 5 tumemfunga united na kusuluhu na leeds waliobaki walitupiga. Na hizi ndiyo games ambazo tukishinda tunajikuta ndani ya top 4.
Tatizo tulilonalo kipindi hichi ni majeruhi yasiyoisha, unamuona Mari wiki mbili kisha unasikia kajeruhiwa. Unamuona Tierney naye same shit.
Partey na Emile jana wameumizwa pia. Hapo bado hatujui Tierney anarudi lini, nilisema hawa 3 pamoja na Saka na Laca ndiyo chachu ya ushindi sasa wanabaki watu 2 kama chachu ya ushindi its weird.
Arsenal imesajili physio mpya pengine kukabiliana na hili swala ila obviously haisaidii. Ninachohofia ni kujikuta tunarudi 3 4 3 ili kuziba pengo la LB.
Pia notice kwamba kati kati ya hiyo wiki ya hizo games tano tuna game na Benfica ya home and away, now tunawezaje kugawa hichi kikosi kiperform katika tournaments zote? Na hapo ni bora hatupo FA wala EFL la sivyo mtihani ungekua mkubwa zaidi.
Baada ya hizi games 5 wanakuja wakina Leicester kisha tutaanza kukutana na chai za maziwa. Ila ni mpaka mwezi wa nne. So kama unataka kuyeyuka kwenye huu uzi yeyuka tu utaibuka mwezi wa tano ukiwa sure na ushindi.
Walipaki basi.Kt jana angeweza kucheza ila naona kama walichukua tahadhari kuelekea trh 30, emile, na partey....partey ni just clamp, emile ndio kuna wasiwasi kidogo... but odegaard kaja muda muafaka
hizi game 5 ni za kulipa visasi hasa villa na wolves ..... leicester hadi leo sielewi alitufungaje japo tatizo kuu lilikuwa AM
Hii timu morali ikisheki tu watajikuta pabaya, leo Sheffield sidhani kama atapona.United kuWa wa kwanza ni kama kumuona tembo juu ya mti. Wote hatujui kapandaje ila tuna uhakika atashuka.
Castr
naona Arteta hataki kabisa kumsikia mustafi, ...naomba partey awepo, pengo la emile tunaweza kumpa odegaard.... mari awe amerudi, wacheze na holding...luiz haaminikiWalipaki basi.
Mid ya kusakama lango haikuepo, ikapigwa kaunta Mustafi akashindwa kudefend Vardy akamaliza. Tena ilikua dakika za 87 kuendelea.
Ndo kashapasuka hivyo fanya yako sasaMhhh. Umfunge Southampton we!, nakunya kwa mafungu kama nilivyo kua mtoto.
Amini nakwambia Arsenal hii kweli ni dhaifu kiasi ila pia ni timu ambayo haitabiriki kabisa nani alitegemea jana Southampton watatoa ulimi nje tena kwao?Top 4 ni ngumu. Angalia games tano zinazofuata
Arsenal V man united.
Wolves V Arsenal
Aston Villa V Arsenal
Arsenal V Leeds
Arsenal V City
Katika hawa 5 tumemfunga united na kusuluhu na leeds waliobaki walitupiga. Na hizi ndiyo games ambazo tukishinda tunajikuta ndani ya top 4.
Tatizo tulilonalo kipindi hichi ni majeruhi yasiyoisha, unamuona Mari wiki mbili kisha unasikia kajeruhiwa. Unamuona Tierney naye same shit.
Partey na Emile jana wameumizwa pia. Hapo bado hatujui Tierney anarudi lini, nilisema hawa 3 pamoja na Saka na Laca ndiyo chachu ya ushindi sasa wanabaki watu 2 kama chachu ya ushindi its weird.
Arsenal imesajili physio mpya pengine kukabiliana na hili swala ila obviously haisaidii. Ninachohofia ni kujikuta tunarudi 3 4 3 ili kuziba pengo la LB.
Pia notice kwamba kati kati ya hiyo wiki ya hizo games tano tuna game na Benfica ya home and away, now tunawezaje kugawa hichi kikosi kiperform katika tournaments zote? Na hapo ni bora hatupo FA wala EFL la sivyo mtihani ungekua mkubwa zaidi.
Baada ya hizi games 5 wanakuja wakina Leicester kisha tutaanza kukutana na chai za maziwa. Ila ni mpaka mwezi wa nne. So kama unataka kuyeyuka kwenye huu uzi yeyuka tu utaibuka mwezi wa tano ukiwa sure na ushindi.
Auba amekutwa na msala gani ?
Umeconsider majeruhi?Amini nakwambia Arsenal hii kweli ni dhaifu kiasi ila pia ni timu ambayo haitabiriki kabisa nani alitegemea jana Southampton watatoa ulimi nje tena kwao?
Amini nakwambia hapo mechi ngumu ni dhidi ya Manchester City peke yake trust me and Mark my words
Hii issue ya kina mustafi haiwezi kuwaharibia kwenye maswala ya kisoko?Wanaouliza sakata la Aubameyang: Mama yake Aubameyang hatunae tena.
Wanaouliza sakata la Mustafi: Project aliyopewa Arteta ni kuhakikisha wachezaji wenye mlengo wa Kiislam kuondoka.
Duhh, muslims hawatakiw gunners??Wanaouliza sakata la Aubameyang: Mama yake Aubameyang hatunae tena.
Wanaouliza sakata la Mustafi: Project aliyopewa Arteta ni kuhakikisha wachezaji wenye mlengo wa Kiislam kuondoka.