Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sisi washabiki huwa hatukati tamaa mpaka dakika ya mwisho.

Na huwa ni mara chache sana kukubaliana na uhalisia.
Uhalisia ni kwamba timu zinahaha. Klopp kaanzisha first xi ya ligi dhidi ya under 23 ya villa kwenye kombe la FA. Mkali wa assisst arnold siku hizi makali yamekata, city anashinda 1 bila au 2 bila, spurs kuanzia dk ya 70 pumzi inawakatia.

Liva, chelsea na city wote wamedraw na west brom. Arsenal kashinda 4 bila pesa ya willian angechukuliwa juan mata tungekua top 4 tayari, kama tukisajili nitarudi tena humu kwa kipindi hichi nahama jukwaa.
 
aseno kuingia top 4? Hiyo sasa ni miujiza.
Ni rahisi kwa Kitoabu kua Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, kuliko aseno kuingia top 4.
 
chumba namba11 n chetu daima
IMG-20201231-WA0040.jpg
 
Mesut Özil sasa ni wazi amekuwa mchezaji wa Fernabahçe. Amefikia makubaliano na Arsenal ya kusitisha mkataba.

10 inavaliwa na Samatta, je atampatia Özil?
 
Mustafi amezikataa klabu tatu zilizomfuata. Anataka aende Barcelona au Milan tu.

Inatarajiwa Ozil mpaka J3 awe kasaini na Fenerbahce. Ila anaweza akaenda USA pia. Sokratis naye safari inanukia.

Fabrizio Romano anasema Arsenal wameanza mazungumzo na Draxler, Buendia na Aouar. Katika hao 3 kipaumbele cha Arsenal ni Aouar. Na kwa maelezo yake anasema Arsenal ilikua inataka kuwatoa Ozil na Sokratis ili kuweza kufund usajili wa CAM yeyote kati ya hawa 3.

Ilitarajiwa awe Brandt ila klabu yake midfielder tegemeo kaumia hivyo hawawezi mtoa Brandt.

Sa katika hizo options 3 zilizopo tutegemee nini?

Tuanze na Draxler; jamaa yuko vizuri, anajua kudribble, pasi, ana skills, anajua ni muda gani timu inahitaji kukomaa ili kupata goli na ana fighting spirit kama tunavyojua wajerumani walivyo.

Lakini jamaa ana kiburi, akiwa Wolfsburg akawa anafosi kuondoka kwenda Bayern mtiti na moto aliouwasha pale ilikua si mchezo. Wolfsburg ikajikuta inapambana isishuke daraja huku ina kiungo anayegawa dressing room. It was a disaster. Akiwa PSG wakiwa wanacheza na Madrid baada ya first leg kupigwa 3 - 1 Emery akamuinua Draxler ili aingie Draxler akiwa anajiandaa kuingia PsG ikapata goli na kua 1 - 1.

Emery akamrudisha Draxler bench, akaja kumuingiza zikiwa zimebaki dakika 6.

Baada ya mechi Draxler aliwaka sana. Akisema haelewi ni vipi kocha hakumuingiza muda ule ule kisa ubao kusoma 1 1 wakati haiwasaidii wao psg. Alilambwa benchi na Emery baada ya pale.

Narudi
 
Obviously la sivyo atashindwa kujiita M10 official.
Fernabahçe hadi wamesitisha mkataba na Adidas ambao wamevurugana na Mesut, na kuingia mkataba na Puma. Puma A.G pia inaongea na Özil kumpatia mkataba wa miaka 3 na kufanya integration ya M10 Brand.
 
Fernabahçe hadi wamesitisha mkataba na Adidas ambao wamevurugana na Mesut, na kuingia mkataba na Puma. Puma A.G pia inaongea na Özil kumpatia mkataba wa miaka 3 na kufanya integration ya M10 Brand.
Naamini atakua na solid performance na Fernebahce.
 
Washika Bunduki mlio geuka warusha mishale kwa kweli kesho mjitahidi sababu laana ya Ozil imewaondoka!
Nani hapa bado hayaogopi majogoo?
 
Salaams kwenu wote. Nitaanza kuchangia zaidi baada ya Ozil kuhama na mimi kuanza tena kuangalia mechi zetu 😀😀
 
Back
Top Bottom