Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 11,080
- 12,319
Huwa nawatofautisha hapo.Watu wanashindwa hata kutofautisha taste za maandishi?
Binafsi namwona Aaron kama reporter, huku wewe ukifanya kazi ya uchambuzi.
AronArsenal ni kama reporter humu, na Castr anaenda kama mchambuzi.
Tatizo linakuja, id hizi hazijawahi kutana.
Yani siku ukiiona id ya AronArsenal basi jua ya Castr huioni, na ukiiona ya Castr basi ya AronArsenal huioni.
Hapo ndipo nilipo anza kuwa na wasi wasi na hizo id 2.
la mkaa