sasa hivi ni kutembeza vichapo tu ,nakupigaa nje ndani msimu huu , huyo palace leo atachezea goli za kutoshaZaha, kama namuona vile.
Hauwez kuandika point kama unatumka tecno
Hata mkishinda hamwendi popote, mnabaki hapo hapo nafasi ya 11.
Kiufupi hamna sumu yeyote.
Kama paka nyinyi ni paka kibogoyo, hamng'ati wala nini!
Still have question marks kuhusu sifa anazopewa Smith Rowe
Arsenal waliifunga West Brom nne. Nyinyi mliifunga ngapi?Hii timu sisi tuliifunga goli 7, jitahidini mpate hata 2 muwafikie Chelsea.
Fabrizio Romano ameripoti Arsenal imeanza mazungumzo na Draxler.Suala la usajili naona limeishia njiani kimyaaaa,pengo la Tierney ni kubwa sana kwetu tubane pumbu mechi iishe salama