Amekusika atakujubu tuHuyu manina zake Arteta anangoja nini hapo Emirates.....nyoko mbwa huyu.
RIP My Team ujanja ujanja unafikaga mwisho ,kwa sasa tusubiri tutiwe vidole na Chelsea hakuna namna,kocha ni yule yule,Wachezaji ni wale wale, board ni ile ile sasa hayo matokeo ya ushindi Vs Chelsea yatatokea wapi?labda Lampard atudharau,but akikaza goli 3 wanapata Emirates na hii ni given!jana Elneny,Ceballos,Niles ambao ndo main midfielders wetu wamecheza na wamezidiwa zidiwa na 4 wamezipokea hvyo kisingizio hamnaNext match vs Chelsea, kwa sasa wenye roho nyepesi muanze kutafuta timu mpya ya EPL hapa hamna timu ,hamna kocha na hakuna uongozi imara!kwa mwenye akili timamu na anayejitambua matokeo ya Arsenal vs Chelsea yameshafahamika hata kabla ya tarehe 26 December 2020!I dont believe kwa hizi results but kwa sasa ninaangalia nini kitatokea may 2021
Arsenal imeanza kushuka 2006 ila kwa sasa ndio inashuka Mazima na haitanyayuka may after 5 years
![]()
Tumpe muda, hahahaa....mitano tenaaaHuyu manina zake Arteta anangoja nini hapo Emirates.....nyoko mbwa huyu.





iwe
,iwe
.Ni muda mrefu huu uzi ulisha kimbiwa.Wamekimbia uzi wao bana.
Mchizi boti wako Dully Jr yuko wapi?Siku hizi hadi tushachoka kuwapa pole bandugu
Mpuuzi kama huyu usishangae ni mlevi mzuri tu wa pombe.Bila kuvuta bangi, huwezi kuwa shabiki wa hii timu