Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
Hii mechi utakuta wenye timu yao wamelala tayari, sisi ndo tuna hamu ya kuiona.






Au tunaendeleza ile rekodi yetu ?
Nafikiri tuswitch kutoka 3 4 3 mpaka 3 4 1 2.
Pepe awe hiyo 1 au kwenye 2 awe ni left striker. Akiwa 1 hii 2 wawe Auba na Laca kisha kwingine kubaki kama kulivyo.
3 4 3 imetuonyesha tunaweza miliki mpira ila hatuwezi kupenya ndani kwa wapinzani. 3 4 1 2 itawapa options hawa forwards ama kucheza one two au mmoja (pepe) awadrag opponents mpaka ndani.
Tunahitaji magoli tusiutanue sana uwanja tushaona tukiutanua hatuna uwezo wa kuubana. So tuubane tu by default.








Kwaiyo unamuambia nani..au nani anataka kujua?Lile deni nililo kua nikidaiwa na Tottenham nimelilipa huko.
HahahahahaNdugu yangu haya tulishayasema na kwa nionavyo yatazidi kujidhihirisha tu



