Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

😂😂😂😂😂
 

Attachments

  • JamiiForums-153356287_630x621.jpeg
    JamiiForums-153356287_630x621.jpeg
    20.8 KB · Views: 6
Nafikiri tuswitch kutoka 3 4 3 mpaka 3 4 1 2.

Pepe awe hiyo 1 au kwenye 2 awe ni left striker. Akiwa 1 hii 2 wawe Auba na Laca kisha kwingine kubaki kama kulivyo.

3 4 3 imetuonyesha tunaweza miliki mpira ila hatuwezi kupenya ndani kwa wapinzani. 3 4 1 2 itawapa options hawa forwards ama kucheza one two au mmoja (pepe) awadrag opponents mpaka ndani.

Tunahitaji magoli tusiutanue sana uwanja tushaona tukiutanua hatuna uwezo wa kuubana. So tuubane tu by default.

au sio
 
Back
Top Bottom