🙆🙆🙆🙆shuken daraja mtuazime uwanja![]()
EbhanaMchizi boti wako Dully Jr yuko wapi?
Mlegezee akufunge ili arudi tena jukwaani, tume misi shombo zake.


hata draw hawapati hawa takataka tutaendelea kuwapa pole tu hakuna namnaSasa hii manure ndo yakunitisha mimi? Umempiga mvimba macho saiv mumesahau Ole keshawapeleka europa ..bad na huko mtapigwa tu hakuna namna.
Achana na timu hilo pasua kichwa njo darajani kushinda ni hulka yetu..
#CFC![]()




Akifurushwa si atarudi kwa Gardiola aendelee kujifunza?Hivi Arteta hajihurumii aachie ngazi mwwnyewe kiroho safi, ili asipatwe na aibu ya kifurushwa?
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app