Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 11,080
- 12,319
Mkuu me leo nimeshindwa hata kuwacheka.Ebhana eeee..imetosha sasa,hivi vipigo vimekuwa vingi
Kama utani tunaenda kupoteza mpinzani muhimu.
Mkuu me leo nimeshindwa hata kuwacheka.Ebhana eeee..imetosha sasa,hivi vipigo vimekuwa vingi
Ila kwa castr nahisi uvumilivu umeshaanza kumshinda, maana sikuhizi haishiwi visingizio.jf naomba tuutambe UZOEFU NA UBOBEVU WA HALI YA JUU WA KIUANDAMIZI wa Castr na@computerasernal katika kuishabikia timu ya Asernaliwe
,iwe
.
Aaron Asernal na Dully jr na njie mkue sasa.





Lampard anaweza kupoteza kwa Arsenal tena asubuhi tuOua wazee sisi chelsea hatutawaacha aisee hata kama nyie ni wagonjwa
Tukiendelea kumchekea huyu Arteta lazima tushuke daraja.