Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hivi kweli unalinganisha epl na tanzania???
Mchezaji akipewa red card kwenye epl inagharimu hadi mechi zote hatakazomiss.
Hawa wazungu mkibaki 10 tu hata kama unacheza na crystal palace utaomba mpira uishe.

Hizi card nyekundu zinatugharimu sana sana coz hata mbinu za kocha zinabadilika, anachokuwa anawaza ni kudefence sio tena ushindi.
Ajax ilibidi ipate red ngapi ili chelsea aonekane
 
Endelea kusema ni mihemko tu ila kwa mwenye akili timamu andiko langu atalielewa na linaeleweka
Everton 2-1 Arsenal Half Time
Punguza mihemko mkuu, iweje usajili wa Dominick lawama uzitupe kwa Arsenal, inahusiana nini?
 
HAKUNA MMILIKI AMBAYE ATAMVULIA KOCHA AMBAYE KAPEWA TIMU INA KILA KITU HALAFU AONE TIMU IKO MKIANI IKIGOMBANIA KUTOKUSHUKA DARAJA!,NARUDIA TENA HAYUPO!


Arsenal Tatizo si kocha bali ni MMILIKI,Ntaendelea kushikilia huu msimamo wangu mpaka naingia kaburini
 
Next match vs Chelsea, kwa sasa wenye roho nyepesi muanze kutafuta timu mpya ya EPL hapa hamna timu ,hamna kocha na hakuna uongozi imara!kwa mwenye akili timamu na anayejitambua matokeo ya Arsenal vs Chelsea yameshafahamika hata kabla ya tarehe 26 December 2020!I dont believe kwa hizi results but kwa sasa ninaangalia nini kitatokea may 2021
Arsenal imeanza kushuka 2006 ila kwa sasa ndio inashuka Mazima na haitanyayuka may after 5 years
 
UTOPOLO...

Screenshot_20201219-222542_All%20Goals.jpg
 
Back
Top Bottom