Huyu kima Arteta aondoke. Mashabiki wa Araenal tunataniwa mitaani kwamba siyo Fans tena wa Arsenal bali ni Makada
Hahahaha hii picha nzuri sana ngoja niifadhi..
Towa info za kutosha mkuu..ukipata heka 10 umaskini unaangana nao baada ya miaka 3. meaning miche 1000
Sasa hivi mechi za Arsenal inabidi uangalie nyumbani pekee yako. Honestly I don't believe Arteta has anything left to change the team, he has already exhausted his tactics still we are where we are, certainly dropping further in days to come. No creativity, no discipline, no confidence. Bado Arteta ana sababu ya kuendelea kuwapo?Hii timu YETU hii, yaani siku hizi hakuna mechi ambayo tunaweza kucheza huku wewe mmshabiki na Matumaini ya kupata points tatu.... Yaani
Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
.....Sasa mkuu kama mtu ana "great talent" lakini ana mapungufu ya kiufundi je kocha kazi yake ni nini?
Kwanini asiyafanyie kazi mapungufu ya mchezaji ili arudi kwenye reli wakati mnajua aseno nzima hakuna mchezaji mwenye uwezo wa pasi kama yeye?
Maana mpaka anastaafu soka la timu ya taifa sijawahi ona anawekwa benchi kisa ananyima timu balance sasa kwanini iwe aseno?
Je wakati mnamsajili hamkujua he is not good defensively?
Mkuu hufai kabisa kumuuguza Mgonjwa!Mashabiki wa Arsenal inabidi mjipange mapema kwa yafuatayo:
-Gharama za bundle maana championship mechi zao hazipo DSTV
-Kurudia topiki ya herufi na silabi maana kule majina ya timu ni magumu kutamkika
Mwisho kabisa chezeni tu mkamilishe ratiba muwaachie ligi yao muende kwenu.
Ndio maana Biology ilinishinda nikakimbilia Agriculture sasa hivi nina vanilla zangu na sungura vinanisaidia kusogeza maisha taratibuMkuu hufai kabisa kumuuguza Mgonjwa!
😀 😀
Mzee wa madini huko Malawi hakuna story ya kutusogezea weekend
Arsenal anampiga Everton vizuri tu
Itabidi nikupitie hapo siku naenda Igombola ili nikupe moyo uendelee kuwa na uvumilivuNipo Soliwaya. Mbele ya Makambako. Nikitaka kulima avocado niandae shilingi ngapi
Wakija uni-tag
PRAY FOR ARSENAL
Mlipofikia sio wa kuwacheka tena, ni wa kuwaombea
Kila kocha anayo tafsiri yake ya kila kitu. Jifunzeni kwa Looserpool na City. Pep ndiye aliyeamua wabaki nani na nani; D. Silva, Aguero, Company, Otamendi, Fernandinyo. Wengine wote timua. Unadhani wamiliki wa City hawakujua kuwa kikosi chao cha akina Toure kilikuwa kikali. Walijua ila wanajua pia kuwa kila kocha anayo tafsiri yake ya kikosi kikali.HAKUNA MMILIKI AMBAYE ATAMVULIA KOCHA AMBAYE KAPEWA TIMU INA KILA KITU HALAFU AONE TIMU IKO MKIANI IKIGOMBANIA KUTOKUSHUKA DARAJA!,NARUDIA TENA HAYUPO!
Arsenal Tatizo si kocha bali ni MMILIKI,Ntaendelea kushikilia huu msimamo wangu mpaka naingia kaburini
Umeona eee,MKUU ACHA UONGO HAYO MANENO "timu ina kila kitu" YAFUTE HARAKA! YAANI SAKA,PEPE,CEBA,NKETIAH,LACA NDIO KILA KITU!!!KWELI MAAJABU HAYAISHI DUNIA HII.