Mc cane
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 5,569
- 10,527
Ili wafungwe tena. Wameshazoea kufungwa muda wote
Hivi baada ya Pepe kusawazisha kwa tuta, Wachezaji wa Arsenal waliukimbilia mpira nyavuni na kupeleka katikati ili iweje?
![]()
MKUU ACHA UONGO HAYO MANENO "timu ina kila kitu" YAFUTE HARAKA! YAANI SAKA,PEPE,CEBA,NKETIAH,LACA NDIO KILA KITU!!!HAKUNA MMILIKI AMBAYE ATAMVULIA KOCHA AMBAYE KAPEWA TIMU INA KILA KITU HALAFU AONE TIMU IKO MKIANI IKIGOMBANIA KUTOKUSHUKA DARAJA!,NARUDIA TENA HAYUPO!
Arsenal Tatizo si kocha bali ni MMILIKI,Ntaendelea kushikilia huu msimamo wangu mpaka naingia kaburini

KWELI MAAJABU HAYAISHI DUNIA HII.Mkuu mbona huwa unawaandama tu Arsenal humu..why not Chelsea,Liverpool n.k?MKUU ACHA UONGO HAYO MANENO "timu ina kila kitu" YAFUTE HARAKA! YAANI SAKA,PEPE,CEBA,NKETIAH,LACA NDIO KILA KITU!!!KWELI MAAJABU HAYAISHI DUNIA HII.
SAMAHANI AMBAO TIMU ZENU HAZIONEKANI HAPA..MTAKUWA MKIANI HUKO..Weka msimamo mkuu

Wanamdomo kama Manara..Mkuu mbona huwa unawaandama tu Arsenal humu..why not Chelsea,Liverpool n.k?




Kweli hatujaamini mana mmejitahid mmepunguza idadi ya magoli#COYG
IS NOT OVER UNTIL IT'S OVER,
Leo tunarudi uwanjani tena, nasema hivi leo hawataamini
Arsenal kuna mchezaji anaitwa Reno?Reno ndio tatizo kubwa.... golini hakuna mtu.
Matinez Aliibeba sana Asernal
Tujikumbushe
1. clean sheets
- kipa wa Unai alikuwa Reno
- Alipofukuzwa Unai , Reno akaumia
- Matinezi alipoingia golini Asernal ilifanya vizuri sana,
2. FA cup
3. Community shield
4. Europa league
- Reno kupona
- Matinezi kauzwa, Aston villa imepaaa
- Reno na Asernal yao imegeuka villa ya mwaka jana
Kifupi kama Ateta ataendelea na Reno nayeye atafukuzwa kama Unai.




HahahaArsenal kuna mchezaji anaitwa Reno?
duuh! mnachezea mbupu qum*make
Hii ndo shida ya kukurupuka Kutoka kunya na kuwahi kukomenti bila kusoma maelezo!MKUU ACHA UONGO HAYO MANENO "timu ina kila kitu" YAFUTE HARAKA! YAANI SAKA,PEPE,CEBA,NKETIAH,LACA NDIO KILA KITU!!!KWELI MAAJABU HAYAISHI DUNIA HII.