Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tatizo kocha wetu naye anaishi kwenye fantasy. Muache tu ajikute na yeye ni Pep huku tuna muhesabia siku.
View attachment 1647014
Kusema kweli naona Arteta siyo mbaya. Hata Emery sikumuona mbaya. Tatizo la timu yetu ni morali ipo chini.

Kocha wetu amefanya wachezaji wawe marafiki zake amegoma kuitwa bosi na wachezaji wanamuita Mr au jina lake.

Harry Redknapp sijui aliifanyaje Tottenham aliipandisha morali kwa nguvu mno. Wachezaji wa timu yetu waliofungwa nne bila Europa ndiyo walitugea FA mbele ya Chelsea hao hao.

Naamini morali ndiyo shida. Shida haijawahi kua kocha
 
Kusema kweli naona Arteta siyo mbaya. Hata Emery sikumuona mbaya. Tatizo la timu yetu ni morali ipo chini.

Kocha wetu amefanya wachezaji wawe marafiki zake amegoma kuitwa bosi na wachezaji wanamuita Mr au jina lake.

Harry Redknapp sijui aliifanyaje Tottenham aliipandisha morali kwa nguvu mno. Wachezaji wa timu yetu waliofungwa nne bila Europa ndiyo walitugea FA mbele ya Chelsea hao hao.

Naamini morali ndiyo shida. Shida haijawahi kua kocha
Sasa tunairudishaje hii morale iliyopotea kwa miaka zaidi ya 10 sasa?

Ni kipindi kirefu kimepita hatuhesabiwi kama title contender.

Hivi ile morali tuliyokuwa nayo miaka ile ya kina Pires,Reyes,Henry,Ljumberg ilipotelea wapi? Au tulirogwa?
 
Yaweza isiwe hivyo. Unajua timu nyingi msimu huu zinastruggle hao wote uliowataja na wenyewe siyo watamu sana usishangae Monchengladbach akakusimamishia kigogo.
Hivi ni kwanini timu nyingi Sana sio kubwa wala ndogo zina struggle sio kwenye ligi wala michuano ya nje?

Yaani timu ambayo naona kidogo Ime settle na haijakumbwa na hii kadhia ni Bayern tu

Ni kwanini? Au Corona??
 
Sasa tunairudishaje hii morale iliyopotea kwa miaka zaidi ya 10 sasa?

Ni kipindi kirefu kimepita hatuhesabiwi kama title contender.

Hivi ile morali tuliyokuwa nayo miaka ile ya kina Pires,Reyes,Henry,Ljumberg ilipotelea wapi? Au tulirogwa?
Morali huletwa na kocha, ushindi au sajili mpya. Hiyo miaka 10 tulikua regulars wa uefa huku hatuna sajili mpya na priority ilikua uwanja. Tulikua na kocha na ushindi pale inapobidi.

Wenger ameondoka. Emery akashindwa kupata points katika games nne za mwisho ili kwenda uefa. Kipigo cha nne bila europa. Usajili ni Pepe ambaye anacheza kama hajawahi kumuona Robben. (Nakumbuka nilisema bora aje Ziyech kabla hata Chelsea ban haijaisha)

Obviously timu lazima iwe low on morale.

Ljungberg hakua na philosophy nzuri. Arteta alianza poa. CAM ni tatizo? Yea na ndiyo nasema January transfer window itabidi litumike kututibu.
 
Hivi ni kwanini timu nyingi Sana sio kubwa wala ndogo zina struggle sio kwenye ligi wala michuano ya nje?

Yaani timu ambayo naona kidogo Ime settle na haijakumbwa na hii kadhia ni Bayern tu

Ni kwanini? Au Corona??
Corona? Inawezekana ila siyo kwa timu zote. Mfano kuna timu zina wachezaji walewale mf Juve, Madrid, PSG, Leipzig lakini wanachezea vichapo.

Wengine wana maingizo mapya mf. Napoli, Sheffield, Atalanta na bado moto unawaka.

Ambacho naona timu nyingi zilizochukua makocha wapya zimekumbwa na hii loss of form. Also kuna falsafa mpya ziliingizwa katika soka na makocha ambazo ziliwasaidia last season ila msimu huu dawa imepatikana.
 
Ila mkuu nakupongeza kuendelea kutetea na kushabikia chama lako Arsewowo, mashabiki wenzako hapa asilimia 90 wameingia msituni kujificha.
Hehehe sipo kwa kupenda sina kazi ya kufanya. Hawa wenzangu wote wana kazi so katika kikao nikateuliwa kulinda uzi
 
Ni kweli unachosema, nini sasa kifanyike morale ya wachezaji ipande juu?

Mchukueni kocha Antony Conte
Conte hapana si unaona Italy pamemshinda na hata nyinyi mlimtimua?

Alivyoondoka Wenger nilitamani aje Simeon. Kumbe ni kocha anayepokea mpunga mrefu kuliko wote.
 
Morali huletwa na kocha, ushindi au sajili mpya. Hiyo miaka 10 tulikua regulars wa uefa huku hatuna sajili mpya na priority ilikua uwanja. Tulikua na kocha na ushindi pale inapobidi.

Wenger ameondoka. Emery akashindwa kupata points katika games nne za mwisho ili kwenda uefa. Kipigo cha nne bila europa. Usajili ni Pepe ambaye anacheza kama hajawahi kumuona Robben. (Nakumbuka nilisema bora aje Ziyech kabla hata Chelsea ban haijaisha)

Obviously timu lazima iwe low on morale.

Ljungberg hakua na philosophy nzuri. Arteta alianza poa. CAM ni tatizo? Yea na ndiyo nasema January transfer window itabidi litumike kututibu.
Yaani huwa nikikumbuka miaka ile ambayo tulikuwa hata hatufanyi sajili za gharama na bado timu yetu ilikuwa ni tishio kwenye michuano tunayoshiriki, halafu nikilinganisha na kipindi hiki ambacho tunatumia pesa nyingi lakini bado timu yetu inafanya utopolo tu huwa naumia kweli...

Kwa miaka takribani saba kisingizio chetu cha kutochukua ubingwa ilikuwa ni deni la uwanja, lakini hilo la uwanja limeisha ila bado mambo ni Yale yale tu.

Tumejitahidi kubadilisha walimu ila tumeshindwa kurejesha kile tulichokipoteza miaka 10 iliyopita, binafsi yangu kwa mara ya mwisho kuiona Arsenal yenye uwezo wa kucheza na timu yoyote na ukategemea matokeo bila wasi wasi ni ile iliyomtoa AC Millan pale San siro.

Hivi unafahamu timu nyingi siku hizi zikicheza na Arsenal zinakuwa na confidence sana kuliko hata pale zinapocheza na timu kama City au Liverpool haijalishi hata kama timu hizi zina majeruhi kibao.

Nawaza tu hapa ni lini tutarudi na sisi
 
Yaani huwa nikikumbuka miaka ile ambayo tulikuwa hata hatufanyi sajili za gharama na bado timu yetu ilikuwa ni tishio kwenye michuano tunayoshiriki, halafu nikilinganisha na kipindi hiki ambacho tunatumia pesa nyingi lakini bado timu yetu inafanya utopolo tu huwa naumia kweli...

Kwa miaka takribani saba kisingizio chetu cha kutochukua ubingwa ilikuwa ni deni la uwanja, lakini hilo la uwanja limeisha ila bado mambo ni Yale yale tu.

Tumejitahidi kubadilisha walimu ila tumeshindwa kurejesha kile tulichokipoteza miaka 10 iliyopita, binafsi yangu kwa mara ya mwisho kuiona Arsenal yenye uwezo wa kucheza na timu yoyote na ukategemea matokeo bila wasi wasi ni ile iliyomtoa AC Millan pale San siro.

Hivi unafahamu timu nyingi siku hizi zikicheza na Arsenal zinakuwa na confidence sana kuliko hata pale zinapocheza na timu kama City au Liverpool haijalishi hata kama timu hizi zina majeruhi kibao.

Nawaza tu hapa ni lini tutarudi na sisi
Nikiona usajili wa January nitaweza ongea maoni yangu juu ya nafasi yetu. Kurudi Arteta alisema mpaka baada ya miaka 3
 
Acha kupoteza brain cells kwa huyu dogo, Yuko hapa kwa ajili ya kubisha na sio kuelewa.

Yaani pamoja na kumwekea mfano wa hai wa Marcelo Bielsa hapo bado anakwambia huo sio utaratibu kwa uingereza. Mtu Kama huyu kuendelea ku-exchange words na yeye ni kupoteza brain cells
Haaahaaaaa pole sana....najaribu kuwaza cjui Marcel bielsa anafundisha timu IPI kati ya arsenal n spurs ( ulizokuwa unataka starting eleven zao)
 
Morali huletwa na kocha, ushindi au sajili mpya. Hiyo miaka 10 tulikua regulars wa uefa huku hatuna sajili mpya na priority ilikua uwanja. Tulikua na kocha na ushindi pale inapobidi.

Wenger ameondoka. Emery akashindwa kupata points katika games nne za mwisho ili kwenda uefa. Kipigo cha nne bila europa. Usajili ni Pepe ambaye anacheza kama hajawahi kumuona Robben. (Nakumbuka nilisema bora aje Ziyech kabla hata Chelsea ban haijaisha)

Obviously timu lazima iwe low on morale.

Ljungberg hakua na philosophy nzuri. Arteta alianza poa. CAM ni tatizo? Yea na ndiyo nasema January transfer window itabidi litumike kututibu.
Kuna mahali niliona huyu pepe hakuwa hata chaguo LA emery....yeye alimtaka wilfred zaha....akashangaa kapewa comredi kipepe
 
Haaahaaaaa pole sana....najaribu kuwaza cjui Marcel bielsa anafundisha timu IPI kati ya arsenal n spurs ( ulizokuwa unataka starting eleven zao)
Wewe unanipa pole???

Kama nilivyosema hapo awali kubishana na wewe kupoteza brain cells bure tu.

Maana hata kuelewa huelewi, pengine sijajua labda ni utoto.

Kwa sasa siwezi kuendelea kubishana na wewe, siku ukikua kifikra tunaweza kujadiliana.

Angalia Kama hapa, umeshindwa kabisa kung'amua hiyo case ya Marcelo Bielsa imetumika kama mfano hai wa ku-nullify hiyo argument ya awali kuwa uingereza hakuna utaratibu wa kutangaza starting IX masaa 24 kabla ya mechi. Lakini wewe kwa uwelewa wako finyu umeshindwa kabisa kufanya logical connection iliyopo hapo na kuona tuko nje ya context.

Dude your argumentation chain is extremely fvked up, no more words for you.
 
Pochetino kuja Arsenal ni ngumu. Si unajua utani wa jadi na Spurs
Anaweza mbona, nakumbuka Morinho miaka ya nyuma aliwahi kusema timu ndogo Kama Spurs ni ya kufundishwa na makocha wadogo wadogo, lakini leo hii yeye ndio kocha mkuu wa Spurs.

Na ukichunguza kauli yake ilichagizwa na hili hili joto la upinzani wa jadi Kati ya Spurs na Chelsea
 
Kuna mahali niliona huyu pepe hakuwa hata chaguo LA emery....yeye alimtaka wilfred zaha....akashangaa kapewa comredi kipepe
Ila Zaha asingeweza kuja Arsenal na sidhani kama atakuja.

Yeye siku za hivi karibuni amekua akijisema kama shabiki wa Arsenal na anatamani asajiliwe lakini Wenger alipeleka ofa na Alex alipeleka ofa Zaha akachagua kwenda man u iweje leo ndiyo aone anastahili kuja Arsenal?
 
Back
Top Bottom