Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Haya Tot nae anatamba ni mkubwa London.🤣🤣 Arsenal malizaneni nae. Maana ugomvi wa watoto mkubwa anakuja kusuluhisha tu.

Amueni wenyewe nani mkubwa kati yenu siyo London maana mtaanza kumkosea heshima kaka yenu 😂😂
 
London ni nyeupe ujue
Tangu lini???

Hata machesi yalianzaga hivi hivi, London is blue...London is blue, yalivyobahatishaga kale ka UCL ndio kabisaa yakaanza kujita eti wao ndio wafalme wa london, na wakati timu ya Kwanza kabisa kuleta heshima ya mataji London inajulikana kabisa ni timu gani.
 
Tottenham ina miaka 80 haijachukua kombe lolote.

Hata uzi wenu mara ya mwisho kuchangiwa ni 2012. Uzi una replies nne.

Wewe upo hapa kupiga hizi kelele.
Kelele gani sasa hapo. Kuwa mkubwa haijalishi msururu ulio nyuma. Ngojea Jumapili utaniambia nani mkubwa. Spurs ni underrated. Niliwaambia wakati wa usajili hamkuamini sasa msubiri kuona tukinyanyua ndoo.
 
Tangu lini???

Hata machesi yalianzaga hivi hivi, London is blue...London is blue, yalivyobahatishaga kale ka UCL ndio kabisaa yakaanza kujita eti wao ndio wafalme wa london, na wakati timu ya Kwanza kabisa kuleta heshima ya mataji London inajulikana kabisa ni timu gani.
Hiyo timu yenu sasa hivi ni historia tu. Ni kama tu zilivyo AC Milan na United. Hizi ni zama mpya na vitabu vipya.
 
Haya Tot nae anatamba ni mkubwa London. Arsenal malizaneni nae. Maana ugomvi wa watoto mkubwa anakuja kusuluhisha tu.

Amueni wenyewe nani mkubwa kati yenu siyo London maana mtaanza kumkosea heshima kaka yenu
Isingekuwa Lo Celso na bangi zake siku ile dk ya mwisho ogonvi ningewaachia nyinyi. Sasa makali yamepungua maana sare kwetu ilikuwa sawa na kipigo. Hata Jose alisema baada ya mchezo kuwa wachezaji wana huzuni kutoshinda ule mchezo.
 
Isingekuwa Lo Celso na bangi zake siku ile dk ya mwisho ogonvi ningewaachia nyinyi. Sasa makali yamepungua maana sare kwetu ilikuwa sawa na kipigo. Hata Jose alisema baada ya mchezo kuwa wachezaji wana huzuni kutoshinda ule mchezo.
Ile game hata irudiwe kesho hamuwezi kushinda zaidi nakuja kukubebesha kapu la magoli hapo kwako marudiano. Mou kocha mweupe sana.
 
Ile game hata irudiwe kesho hamuwezi kushinda zaidi nakuja kukubebesha kapu la magoli hapo kwako marudiano. Mou kocha mweupe sana.
Angekuwa kocha wa kawaida ile game yenu tungepigwa goli nyingi sana. Sema kwa kuwa gwiji anajua ndiyo sababu aliweza kuwakontein. Yaani unacheza na timu inakushambulia na Werner/Tammy/Ziyech/Mount! Baadae wanaingia Kai/Pulisic/Giroud!

Kikosi kikali sana hicho lakini bado Jose yuko kileleni. Sasa hapo huoni kuwa ni kwamba jamaa anajua tu.
 
Isingekuwa Lo Celso na bangi zake siku ile dk ya mwisho ogonvi ningewaachia nyinyi. Sasa makali yamepungua maana sare kwetu ilikuwa sawa na kipigo. Hata Jose alisema baada ya mchezo kuwa wachezaji wana huzuni kutoshinda ule mchezo.
Angefunguka sasa kama alikuwa hataki sare
 
Kelele gani sasa hapo. Kuwa mkubwa haijalishi msururu ulio nyuma. Ngojea Jumapili utaniambia nani mkubwa. Spurs ni underrated. Niliwaambia wakati wa usajili hamkuamini sasa msubiri kuona tukinyanyua ndoo.
So mtakuja na Mourinho Ilala ili kunyanyua ndoo za maji kwenye foleni ya bomba la kwa mwarabu?
 
Pierre-Emerick Aubameyang to score first, hii ndo bet yangu weekend hii
 
Acha matusi mkuu, hayawezi kukusaidia chochote
tapatalk_1607013495445.jpeg
 
Mikel Arteta on Alex Lacazette's performance as a No 10 "It was a good game in that position, I think it suits him, it gives him a bit of freedom and he is really good at linking play in those positions. He worked really hard and scored a beautiful goal."
 
Back
Top Bottom