Naona al- badir aliyoisoma özil kwa arsenal inafanya Kaz taratibu...
Hahaha yule anatafuta umaarufu kupitia club kubwa kama Chelsea [emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23] Hizo ni shobo zake hakuna mtu kutoka Chelsea alijitokeza akasema tunataka kumsajili. Hata ivyo sisi tunasajili wachezaji wanaonukia UEFA yule na kuzunguka kwake club kibao hajawahi nusa klabu bingwa. Sasa anatofauti gani na nyie? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Asee yanavyosumbuaga daah..unajua ligi inapoanzaga huwaga wa kwanza sasa hapo wanaona wamemaliza kila kitu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]haya majamaa ukiyaona pre season unaweza kudhani yanatimu kubwa kumbe mashati tu
[emoji23][emoji23][emoji23]Mna pound ngap tuwape tena Giroud[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
View attachment 1640880
THROWBACK THURSDAY jinsi Arsenyeto walivyokuwa wanajiongopea mwanzo mwanzo wa msimu tehteh
Labda uefa ya cha ndimu
Mkuu nyie mna ukubwa gani London? 😂😂Jumapili ijayo wanacheza na timu kubwa zaidi pale London. Kwa kifupi tutawapa kipigo kama cha City. Jose is back.
Siku zote muda ni jibu zuri sana ila watu huwa wanapinga. Hawa jamaa sasa ivi hata majukwaa yao wameyakimbia huwakuti wakisema chochote.Hawa jamaa walivyo potea humu ndani hadi huruma [emoji23][emoji23][emoji23]