Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Adjustments.jpg
 
Guys, tuko vibaya. Yaani ninaona kabisa tukiingia bottom three ndani ya mechi mbili, dadeq!

Tangu nianze kuwa shabiki was hii timu we've never dropped this low. Kama vipi Arteta aondoke tu, kwani Poch hayupo, hafai? Hakuna makocha wengine wakuitengeneza timu?
 
The Gunners Eeeeeeeeh.Nasikia Tunataka Kumuuza Pepe Eti????

BTW, Hizi Hapa Shirt Kali Za Kijanja, Kwa Ajili Yako.

HIZI Shirt For Only 30,000 Tuuu.

BJBshirst35.jpg
BJBshirst02.jpg
BJBshirst08.jpg
BJBshirst43.jpg





Hiz Chini, Demin Jeans Shirt Kwa 35,000

BJBshirst05.jpg
BJBshirst09.jpg



Pita Hapa Kujiinea Bidhaa Zaidi.

 

Attachments

  • BJBshirst10.jpg
    BJBshirst10.jpg
    80.5 KB · Views: 6
Guys, tuko vibaya. Yaani ninaona kabisa tukiingia bottom three ndani ya mechi mbili, dadeq!

Tangu nianze kuwa shabiki was hii timu we've never dropped this low. Kama vipi Arteta aondoke tu, kwani Poch hayupo, hafai? Hakuna makocha wengine wakuitengeneza timu?
Akifukuzwa wala sitoskitika.

Juu ya kwamba nampenda Arteta but he is a LIAR. He is a fvckng liar. Ametudanganya kwamba ozil ameachwa for football reasons wakati anajua kabisa that's a lie.

Screenshot_20201201-223827_Goal News.jpg
 
Back
Top Bottom