Wafiwa mbona siwaoni humu...au wamekimbia msiba?
Wafiwa mbona siwaoni humu...au wamekimbia msiba?
Usitegemee kuwaona humu kwa siku za karibuni.


: eg TOMS FROD CADETS TROUSERS BRITISH

: eg BURBERY SHIRTS...Jumapili ijayo wanacheza na timu kubwa zaidi pale London. Kwa kifupi tutawapa kipigo kama cha City. Jose is back.EPL INARUDI LINI, NAONA MASHABIKI WA "ASENO" WAMEANZA KUNENEPA![]()
Akifukuzwa wala sitoskitika.Guys, tuko vibaya. Yaani ninaona kabisa tukiingia bottom three ndani ya mechi mbili, dadeq!
Tangu nianze kuwa shabiki was hii timu we've never dropped this low. Kama vipi Arteta aondoke tu, kwani Poch hayupo, hafai? Hakuna makocha wengine wakuitengeneza timu?
It will keep increasing. And 7 points ni nyingi sana jombaaaaGap la points na timu inayoongoza ligi hazifiki points 7, sio mbaya sana