Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hawezi kusema ni kweli ila kamskilize Arteta between the line utajua kuna kitu kiliendelea hakuna club itakayosema in public kuwa kulikuwa na ugomvi
Kugombana kwenye mazoez ni jambo la kawaida sana, mpira ni physical game lazima tu mgusane kwahio sioni cha ajabu.
 
LEO KATIKA HISTORIA,
TAREHE KAMA YA LEO MIAKA 5 ILIYOPITA ARTETA ALIJIFUNGA NA ARSENANE ILIPOTEZA MECHI
Screenshot_20201121-183815_WhatsApp.jpg
 
Nyie marehemu hebu jitahidini mtoke huko mliko maana mnatia aibu kweli kweli
 
1 Son = whole Arsenal Team,Son anagol 9 sawa na magoal waliyofunga Arsenal kwel Arsenal Ni utopolo mtupu.
 
Kugombana kwenye mazoez ni jambo la kawaida sana, mpira ni physical game lazima tu mgusane kwahio sioni cha ajabu.
Ni kweli kabisa ila behaviour ya huyu kijana hasa ukizingatia ni loan player si ya kuvutia.

The fact that Ceballos has more fights with team-mates to his name this season than assists tells its own story.
 
The Gunners wenzangu tusikimbie jukwaa naona wapinzani wamejaa humu ila yote inatokana na mwenendo wa timu yetu mfano leo matokeo hayafahamiki kama tutashinda tutasare au tutafungwa kabisa yaani tupo tupo tu hatusomeki nashindwa kuchambua kabisa game ya leo
 
The Gunners wenzangu tusikimbie jukwaa naona wapinzani wamejaa humu ila yote inatokana na mwenendo wa timu yetu mfano leo matokeo hayafahamiki kama tutashinda tutasare au tutafungwa kabisa yaani tupo tupo tu hatusomeki nashindwa kuchambua kabisa game ya leo
Kati ya gem ambazo tutacheza vizuri na kupata matokeo ni pamoja na gem ya leo. Watu kupoa ni kwasababu mechi ya mwisho tulipoteza tena tukiwa tumecheza vibaya ila leo ushindi ni kuanzia 2+
 
Back
Top Bottom