batmanwafez
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 882
- 1,361
Kugombana kwenye mazoez ni jambo la kawaida sana, mpira ni physical game lazima tu mgusane kwahio sioni cha ajabu.Hawezi kusema ni kweli ila kamskilize Arteta between the line utajua kuna kitu kiliendelea hakuna club itakayosema in public kuwa kulikuwa na ugomvi


