OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,931
- 25,245

Hii ligi Chini ya Arteta mpaka sasa Top 10 hatutoboi na Top 15 pia itakuwa ngumu mechi Arsenal aliyocheza vizuri ni Dhidi ya Fulham peke yake nyingine zote 8 hamna kitu Top 10 hatutoboi bado kuna Everton Spurs Wolves Chelsea atamfunga nani kwa mpira huu?Mpo vizuri kama mnaweza kudroo had na leeds bas hali yenu siyo mbaya sana
Mm najiulizaga sasa mlimfukuza wenger kwa nn?? maana naona kama baada ya yy kusepa mnaporomoka zaid!!sasa si bora mngemwacha mzee likuwa anabalance uchumi na uhakika wa top 4 ulikuwepo......sasa hv nyie ni midtable team yaan ukikutana na everton mkadroo anajilaumu
Kwa hiyo unasema arteta anawapeleka championship kimyakimya???Hii ligi Chini ya Arteta mpaka sasa Top 10 hatutoboi na Top 15 pia itakuwa ngumu mechi Arsenal aliyocheza vizuri ni Dhidi ya Fulham peke yake nyingine zote 8 hamna kitu Top 10 hatutoboi bado kuna Everton Spurs Wolves Chelsea atamfunga nani kwa mpira huu?
Kama willock ndo attacking midfielder unategemea nini?Kwa hiyo unasema arteta anawapeleka championship kimyakimya???


Kama willock ndo attacking midfielder unategemea nini?
Haaahaaaa Kuna wengine walifika mbali na kusema wanachukua ligi aisee....Kuna raia humu walikuwa wanasema Arteta ni bonge la kocha leo naona wanamkataa
Haahaaa auba nn na yy kawa kama willian sioKuna yule kiongozi wao baada ya kusaini mkataba mpya tu kiwango chake kimeshuka kama maji kwenye korongo. Nakumbuka walivyo kuw wanamlilia ili asaini mkataba mpya![]()