Ukangafu ama la itabidi tuulize fainali ya FAPointless kwa sababu ulichokuwa unakisema kinaenda tofauti hapo ukijumlisha na ukangafu wa timu yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukangafu ama la itabidi tuulize fainali ya FAPointless kwa sababu ulichokuwa unakisema kinaenda tofauti hapo ukijumlisha na ukangafu wa timu yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ya mwaka juzi?
Sasa unabisha? Mwaka jana fainali ilikua Sevilla na Inter.
Watakuja kuku-attack mkuu ! Arteta Ni untouchable, msimu huu wanajiona Ni tittle contenders




Ngoja waje wakereketwa hawatokuacha salama
Alafu sijui nani kawaambia wakichambua kwa kiswanglish ndio wataonekana wanajuaMaster nimekuelewa sana.
Unaelewa vizuri soka.
Sio jamaa zangu fulani fulani wanajifanya kuchambua kwa kiingereza ukipitia chambuzi zao zote hukuti la maana



utapigiwa ngeli ya mataputapu mpaka kichwa kikuume,
Mikel Arteta on Willian:
"I can see a development in the last two games. The understanding of things I ask them to do is probably different to what he's used to, but he's getting better and better."
![]()
Mikel Arteta explains the reason for Willian's slow start to life at Arsenal
The Brazilian produced a hattrick of assists on his Arsenal debut against Fulham but has struggled sincet.co
Acha usumbufu wewe. ,Asenane 4 Aston Villa 3
Magoli ya Asenane yamefungwa na
DullyJr
[USER=9087] WillyJr
[USER=236445]Aaron Arsenal
Papaa Gx![]()
Lakini PAPAA GX sindio wewe mwenyewe.Asenane 4 Aston Villa 3
Magoli ya Asenane yamefungwa na
DullyJr
[USER=9087] WillyJr
[USER=236445]Aaron Arsenal
Papaa Gx![]()