Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwa Sead Kolasinac sishangai, hiyo ni weaker foot kwake na pia ukiona hiyo picha utahisi ni mpira alikuwa kaucontrol ila hiyo ilikuwa ni volley (anaunganisha) na ni matukio yanatokea in a space of seconds.
Hehehe now tumeshinda tungefungwa au kusuluhu mashabiki tusingekua na hiyo logic.
 
Nashawishika kuwa mbele ya macho ya wengi ukocha wanauchukulia kama aina ya 'mazingaombwe', yaani unaweka makaratasi baada ya 'abra kadabra' yanakuwa fedha muda huo huo.

Sarri pale Juve ana kila aina ya player lakini ubingwa wa Italy tu ulitaka kumshinda na katupiwa virago, PSG ina 'mafundi' wa kutosha ila ndio angalau wameonja fainali ya Uefa msimu jana. Barca mwenyewe na kina Messi wake hata kikombe cha chai hajachukua msimu jana.

Sisi tunamlaumu Arteta ambae out of no where ndani ya miezi nane alikuwa kamfunga Liver, City, Chelsea na kabeba vikombe viwili.

Aliwahi kusema Mourinho kuwa ukocha ni kazi ya ajabu sana, "football managers are hired to be fired".
Hii ni mechi ya ngapi tunaanza kufungwa na tunasecure ushindi?

Anza na fainali ya FA.

Kipindi cha Emery tukianza kuongozwa Emery anawaambia wachezaji warudi nyuma wasifungwe mengi.

Na kipindi kile ilikua Ozil anaweza kucheza.

Now siku hizi tunafight from defeat na tunashinda bila kua na mpelekea mipira forward.

Tukiwa kwenye hilo shimo la kutokua na AM this man won us FA mbele ya Chelsea yenye kila kitu. Won us Community Shield mbele ya Liva yenye kila kitu, akavunja mwiko wa kutomchapa bakora Man OT.

Na hii ni game ya kumi.

Ameshinda 7.

Na tunajiona vizuri tu tunapoelekea.
 
Wakati naanza kuishabikia Arsenal mid 90s, nilikuwa napata maumivu sana tunapofungwa, hiyo ilinifanya niwe nacheki analysis baada ya mechi(uzuri tulikuwa na SuperSports home).

Nikagundua kuwa hata kufatilia uchambuzi wa kabla ya mechi na half time ni muhimu sana, inakufanya uwe na matarajio yanayo endana na uhalisia hivyo kuweza kucontrol hisia za matokeo. Baada ya ujio wa internet nikawa nafatilia mengi sana kabla ya game nayo ikanisaidia sana kumudu mihemko yangu ya kishabiki.

Nilichogundua fans wengi hawana uelewa mpana wa haya mambo, timu yake ina injury za kutosha bado anaweza hata 'kupinga mke mke' unamcheki unaona huyu muda si mrefu mke wake anaweza kufanywa house girl kwa watu sababu ya 'unazi' wa kijinga.

Tukijifunza kufatilia haya mambo, kuna lawama nyingi humu ndani zitakufa 'natural death'. Atleast mashabiki wengi wa Liver huwa hawana mihemko, ila kwa haya mafanikio wanayopata sasa tutegemee mihemko kutokana na kupata mashabiki wafata mkumbo.
gspain, Castr, Aaron Arsenal na wengine I really enjoy your insights. Kuna kujua mpira lakini kuna kujua kuuchambua mpira.
 
Arteta on scoring more goals:

"It's something we've been working on. You can see last night we were much more fluent in attack. To become a top top team you have to score 90 or 100 goals to be competing with the top guns and it's an area that we have to improve and do better."
 
Aston Villa kapoteza games mbili mfululizo kapoteza game na Leeds, alifungwa tatu bila, kisha akapoteza kwa Southampton nne tatu.

Interesting game ni ile ya Leeds. Leeds anacheza 4 1 4 1 hii formation inakupa ukabaji mkubwa na kumiliki mpira kwa muda mrefu.

No wonder Leeds alimiliki mpira kwa 60% kwenye hii game.

Also inafanya muda wote wachezaji wawe lango la upinzani.

Arsenal formation yetu ya 3 4 3 ni same, unakua na viungo wengi katikati huku unamiliki mpira na kupaki basi kwa pamoja.

Tofauti yetu na Leeds sisi hatuna mpira wa speed na hatuna wachezaji wa kufosi. Kwa hii game tayari inaonyesha Villa akipelekewa mashambulizi na akaukosa mpira muda mrefu anakua frustrated.

This explains kadi za njano na faulo nyingi alizocheza. Pia inaexplain faulo za Soton ambazo ndiyo zikazaa magoli mawili.

It also tells us kipa hakua mzuri sana katika direct freekick ambazo Willian anajua kuzipiga.

So mpaka sasa tuna advantages mbili, formation na mid yetu na piece taker.

Ili kuwaongezea frustrations na wawe reckless inabidi tuwe na mtu anayeweza kukaa na mipira muda mrefu na haogopi kwenda mbele jibu linakuja Partey na Ceballos.

Mlinzi wa kulinda wenzake wakienda mbele ni Xhaka au Elneny.

Watu watakaoswarm kwa sprinting za kwenda mbele ni Bellerin na Cedric na Tierney.

Disadvantage? Ni kwamba formation yetu hua inakua wazi kwa mipira ya counter. Juzi hivi Xhaka alimdaka mtu, ile ilikua ni counter imeshakubali. Na hawa ndiyo walimpiga Liva goli saba, mixer na counter humo humo.

Also wana Watkins, Grealish na Trezeguet. Lets hope Grealish ataendeleza utoto wa anao anao na pia pressing itapigwa huko huko juu ili isiwepo chansi ya counter.

Mustafi hana pace ni risk kumpa namba hapo. Ni bora Xhaka awe CB kuliko Mustafi.

At last itakua ni kuonyeshana who belongs where. Hizi ni nyakati za kumuamini kocha kuliko timu.

Natarajia a stunning performance.
 
Hahaaaaa ila kweli aisee

Astonvilla jumapili atusamehe tu kwakweli ,

Ila naona Arsenal tumeanza kucheza kwa mtindo wa Ku press na kukata highline ,

Ila Kazi waliyofanya Jana Xhaka na Ceballos , Aisee ni kubwa , Hakika Elneny kawatishia namba zao,


Elneny Alipoingia Hivi alipoteza pass kweli?

Kuna Goli moja kapiga Pre assist ,

Najua Sasa hivi Arteta anawasoma Astonvilla ajue anakuja na Package gani

Wale jamaa wana Viungo wazuri kama msipo wakamata , McGin , Douglas Luiz,Bakley ,Grelish

Hawa Partey anawatosha kabisa

Hata willock Jana kaonekana
 
Wakati naanza kuishabikia Arsenal mid 90s, nilikuwa napata maumivu sana tunapofungwa, hiyo ilinifanya niwe nacheki analysis baada ya mechi(uzuri tulikuwa na SuperSports home).

Nikagundua kuwa hata kufatilia uchambuzi wa kabla ya mechi na half time ni muhimu sana, inakufanya uwe na matarajio yanayo endana na uhalisia hivyo kuweza kucontrol hisia za matokeo. Baada ya ujio wa internet nikawa nafatilia mengi sana kabla ya game nayo ikanisaidia sana kumudu mihemko yangu ya kishabiki.

Nilichogundua fans wengi hawana uelewa mpana wa haya mambo, timu yake ina injury za kutosha bado anaweza hata 'kupinga mke mke' unamcheki unaona huyu muda si mrefu mke wake anaweza kufanywa house girl kwa watu sababu ya 'unazi' wa kijinga.

Tukijifunza kufatilia haya mambo, kuna lawama nyingi humu ndani zitakufa 'natural death'. Atleast mashabiki wengi wa Liver huwa hawana mihemko, ila kwa haya mafanikio wanayopata sasa tutegemee mihemko kutokana na kupata mashabiki wafata mkumbo.
We jamaa dah
 
Aston Villa kapoteza games mbili mfululizo kapoteza game na Leeds, alifungwa tatu bila, kisha akapoteza kwa Southampton nne tatu.

Interesting game ni ile ya Leeds. Leeds anacheza 4 1 4 1 hii formation inakupa ukabaji mkubwa na kumiliki mpira kwa muda mrefu.

No wonder Leeds alimiliki mpira kwa 60% kwenye hii game.

Also inafanya muda wote wachezaji wawe lango la upinzani.

Arsenal formation yetu ya 3 4 3 ni same, unakua na viungo wengi katikati huku unamiliki mpira na kupaki basi kwa pamoja.

Tofauti yetu na Leeds sisi hatuna mpira wa speed na hatuna wachezaji wa kufosi. Kwa hii game tayari inaonyesha Villa akipelekewa mashambulizi na akaukosa mpira muda mrefu anakua frustrated.

This explains kadi za njano na faulo nyingi alizocheza. Pia inaexplain faulo za Soton ambazo ndiyo zikazaa magoli mawili.

It also tells us kipa hakua mzuri sana katika direct freekick ambazo Willian anajua kuzipiga.

So mpaka sasa tuna advantages mbili, formation na mid yetu na piece taker.

Ili kuwaongezea frustrations na wawe reckless inabidi tuwe na mtu anayeweza kukaa na mipira muda mrefu na haogopi kwenda mbele jibu linakuja Partey na Ceballos.

Mlinzi wa kulinda wenzake wakienda mbele ni Xhaka au Elneny.

Watu watakaoswarm kwa sprinting za kwenda mbele ni Bellerin na Cedric na Tierney.

Disadvantage? Ni kwamba formation yetu hua inakua wazi kwa mipira ya counter. Juzi hivi Xhaka alimdaka mtu, ile ilikua ni counter imeshakubali. Na hawa ndiyo walimpiga Liva goli saba, mixer na counter humo humo.

Also wana Watkins, Grealish na Trezeguet. Lets hope Grealish ataendeleza utoto wa anao anao na pia pressing itapigwa huko huko juu ili isiwepo chansi ya counter.

Mustafi hana pace ni risk kumpa namba hapo. Ni bora Xhaka awe CB kuliko Mustafi.

At last itakua ni kuonyeshana who belongs where. Hizi ni nyakati za kumuamini kocha kuliko timu.

Natarajia a stunning performance.
Umegusia issue ya Leeds hapo na 4-1-4-1 yao, kiukweli nampenda sana Bielsa ni 'football genius'. Jamaa anavyoitumia hii formation natamani Arteta acopy baadhi ya vitu kisha aviboreshe, labda chanagamoto kubwa itakuwa kucope na speed na intensity ya game over 90mins.

Leeds ukipitia highlights zao utaona jinsi wanavyo shambulia, wanakuwa na watu hadi 6 wanao approach box ya mpinzani na wote hao hufika kwa speed kali ambapo huwafanya wawe ama 6v4 au 6v3.

Kuna viungo watatu ambao hawaingii ndani ya box au wanaingia na kutoka chap, wawili wanakuwa kwenye angle za 18 yard box na huyu mmoja yupo kwenye ile 'D' ya 18 yard box, then strikers/viungo wawili wanaingia kwenye 18 huku mmoja yuko na mpira.

Hapo wanaistrech defence na kuacha space pana ya ama kupiga penetration passes ama kupiga mashuti nje ya 18 na magoli yao mengi wanafunga nje ya 18.

Natamani style hiyo ili kutoa space ya kutosha kwa wingers wetu ( Auba, Pepe,Willian, Nketiah) na pia kubypass role ya AM ambaye kwa sasa hatuna lakini pia ni mfumo mzuri wa kushambulia unapocheza na timu kama Liver au City.

Hii style ya kushambulia aliitumia pia Klopp akiwa Dortmund kama utakumbuka partnership ya Auba, Reus, Mikhi na Lewandoski. Pia hata sasa anaitumia pale Liver japo kaifanyia maboresho kidogo.
 
Willian: 'The way he [Arteta] sees football is different. The structure, the way he talks, his advice. It's unique. He will be one of the best I think.

He just wants me to be the same player I was at Chelsea. Take the ball and go one on one. Dribble, take shots. [@MailSport]
 
Mumenenepa kinoma nyie watu.
Ila bado mapema kusema muna timu mzuri.
Unaona wivu?

Kwahiyo Shaw ndiyo amkabe Rodriguez?

Halafu Fred na McTominay wanyang'anye mipira kwa Allan na Doucoure wampe Mata na Fernandes?

Leo mnafungwa.

2 bila au 2 kwa moja.

Ukijitia jeuri namwambia Calvert Lewin aongeze magoli.
 
Back
Top Bottom