Kinumbo
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 3,188
- 5,810
Mkuu tuheshimiane tafadhali
Lakini PAPAA GX sindio wewe mwenyewe.
Lakini PAPAA GX sindio wewe mwenyewe.
Mkuu tuheshimiane tafadhali
Asenane 4 Aston Villa 3
Magoli ya Asenane yamefungwa na
DullyJr
[USER=9087] WillyJr
[USER=236445]Aaron Arsenal
Papaa Gx![]()
Lakini PAPAA GX sindio wewe mwenyewe.
Mia sio 99.Kweli aisee uhakika asilimia 99% huyu ndo yule Papaa Gx
Na finishing yake mbovu huyu jamaa hatari, yaani naanza kumwelewa Didier Deschamps kwanini hamuiti katika kikosi chake,Freddie Ljungberg alipochukua mikoba kwa Emery akampa namba Lacazette katika game hiyo ya kwanza. Lacazette akazingua zilizofuata akamuweka benchi.
Katika kitu Freddie alikua serious nacho ni kuipata balance ya timu. Hakutaka kurisk kwa kumuweka mtu ambaye amedhamiria kumess up chances.
Katika hizi games za msimu huu yaani amekua hana spid wala stamina wala kupiga pasi hajui yaani imekua vururu vururu. Baada ya game ya liva Arteta akamuweka benchi sijui akamtrick nini kocha ghafla akarudi lakini akiwa same person
Hua nasema Pepe ana matatizo na kocha hamuanzishi au hampangi kabisa koz wote tunaona kwanini kwa Laca inakua ngumu? Imagine Nketiah anapoteza mpira na anaukimbiza Laca anapoteza mpira anaanza kutembea.
Mi naona imetosha.
Finishing hairidhishi.Na finishing yake mbovu huyu jamaa hatari, yaani naanza kumwelewa Didier Deschamps kwanini hamuiti katika kikosi chake,
+ ball control sebureFinishing hairidhishi.
Pass accuracy haridhishi.
Kukaa na mpira haridhishi.
Sikiaaa, acha kucheka twenzetu kule namalizia mzigo wa Mozambique 😃😃😃Nimecheka mpaka chakuandika sikioni.
We takataka wapi unapopata nguvu za kuingia jukwaa la mabingwa na kuandika utopolo ?Matakataka haya yapo kimya siku hizi.
Bingwa wa nini?We takataka wapi unapopata nguvu za kuingia jukwaa la mabingwa na kuandika utopolo ?
FABingwa wa nini?
Kwa swala la gorikeep nakuunga mkono ila haowengin hapanYule kipa Martinez tulifanya kosa kubwa kumuuza wakati golini umeacha shati tu lenye viraka. Sisi kama Arse8 halisi tunasema kwa bei ya Martinez tuliyomuuza nayo tumepigwa pale..
Partey tumepigwa..
Auba baada ya kudondosha wino sasa anakunja £300k+ hivyo tumepigwa..
Willian alijua kusoma nyakati akaona pa kuchukulia penshen ni kwetu Arse8 hivyo bila kusita akaja, sasa anakunja £100k+ tumepigwa..
Pepe tunayelipa kwa mafungu tumepigwa..
Arteta tumepigwa...
![]()