BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Diaby akili hana!
Kabisa! huyu hasira zake zinaweza kabisa kuwa very costly katika baadhi ya mechi. Hana uvumilivu kabisa anapochezewa rafu.
Diaby akili hana!
Very amazing my dear. Wale MANU na Mzee wao SAF saa hizi.wameshanuna maana wanajua bado tunaendelea kuwakoromea kooni, waliomba sana leo tupoteze mechi hii ili waongeze gap kule kileleni waliko.
BAK pole pole tunakusikia MaUre🙂 ha ha
Basi leo hamlali na huu ushindi..
refaaaaaaaaa noma sana kaua live.watu wamerukia mpira wajuu katoa penati,.
mkuu bora jamaa ange dive ingekuwa powa ,wala aja dive kadondoka kwa vile ka-loose balance wakati anarudi chini.anyway yashapita much blame kwetu kwa kaucha kucheza mpira na kuanza ku-defend.Divers in EPL
Kaa kimya mzee
- Van Persie
- Walcot
- Frabegas
- Nicklas B
Hahahahahahaha lakini kijasho chembamba kinatutoka maana jamaa wamehamia golini kwetu na kufanya mashambulizi ya nguvu. Yaani hapa naomba dakika zikatike tu maana kuwa mbele nne bila halafu kuja kutoa draw au kupoteza mchezo ni aibu ya hali ya juu. Mzima lakini wewe? Umepotea sana siku hizi.
So far no Comment....but this is ridiculous........