Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,283
- 4,553
I am speechless! :angry:
I can speak volumes today
I am speechless! :angry:
Yani kama mtarudishwa magoli yote hayo au kutolewa droo itakuwa ni noma..halafu ukitaka muda uende ndiyo kwanza unakuwa kama paused huku mashambulizi yakizidi, punguza na midadi hapo ha ha
Nipo sasa BAK na sijambo, majukumu yalitinga..thanx
I can speak volumes today
I am speechless! :angry:
daaamn
pigo kubwa sanaaaaaaaa hili,sikutegemea kama weekend yangu itaaribika mapema hivi.
Noma sana BJ! we acha tu yaani miye hapa hata sielewi kinachoendelea! Pamoja na red card lakini goli nne in less than 20 minutes!!! that is not acceptable at all. Nafurahi kusikia uko bomba.....Siku ilianza vizuri sana lakini imeshaingia doa na haya matokeo aaaaarrrrrgggggghhhhhh :angry:. Haya baadaye basi miye naenda mtaani kushangaa shangaa.
We kenua tu Mkuu kwa pumzi yako, karibu tena jamvini. Usikimbie tu kesho maana wale L'pool wamewakamia sana.
pigo kubwa sanaaaaaaaa hili,sikutegemea kama weekend yangu itaaribika mapema hivi.
AW hata mie kimeniuma japo siyo Gunners damu, Pole!!..agrrr
Unbelivable BAK, nimehuzununika pia!!..haya tugange yajayo! p.s. usije ukajitundika kwa haya matokeo🙂
Weekend njema japo naona imeshaingia doa!!
Sasa usije ukawanunia family/friends kwa matokeo haya japo yameboa kiukweli..Take it easy AW!!
Asante sana BJ, nomaaa sana utasema nimepatwa na msiba hapa.weekend yangu imeharibika kinoma.
BJ life is so precious! siwezi kabisa kufanya ujinga kama huo lakini siku imeshaingia doa, baadaye basi.