Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Midfield yetu bado haipo vizuri katika squad hii creativity ina lack hapa ila football is football let's wait and see and hope we are going to get something
Sioni nani wa kuwalisha mpira wafungaji wetu naona tatizo litabaki pale pale
Arteta kashindwa kabisa hapo kati kupabalance Elneny and Partey (mhhh)
 
Midfield yetu bado haipo vizuri katika squad hii creativity ina lack hapa ila football is football let's wait and see and hope we are going to get something
Sioni nani wa kuwalisha mpira wafungaji wetu naona tatizo litabaki pale pale
Arteta kashindwa kabisa hapo kati kupabalance Elneny and Partey (mhhh)
Elneny ni bora kuliko Ceballos ambae hakuwa ngangari dhidi ya Leicester.

Hivyo hawa wawili leo Partey na Elneny ndo central midfield yenyewe.

Nadhani Arteta atapenda Arsenal icheze defence na kuwazuia rashford na greenwoood kupata mipira huku wakifanya counter attack.

Ni jaribio jingine kwa Auba na laca.
 
Hapa kuna dalili ya Arsenal kufunga goli muda wowote ule.
 
Nice display from Arsenal side... Shida ni goli tu sasa, Auba naona kama hajiamini anakuwa karibu na goli kisha anatoa pasi badala ya kutafuta goli
 
Nyie arsenal mnataka mfungaje, many chances mnazifanyia masikhara msije mkazijutia baadae.
 
Nice display from the lads,sema tume lack ubunifu pale Kati,

Hili li partey dah!!! Kama jini,linaiba mpira,Lina press,

Saka bukayo is underrated player,dogo anacheza Kama vile msimu wake huu ni wa kumi,full kujiamini yaani.
 
Tumecheza vizuri sana dhidi ya Manchester City Leicester City(matokeo yakawa mabovu) and now Manchester United (tatizo linaendelea) 0 on target hadi half Time!
 
Tumecheza vizuri sana dhidi ya Manchester City Leicester City(matokeo yakawa mabovu) and now Manchester United (tatizo linaendelea) 0 on target hadi half Time!
Shida iko wapi sijacheki first half??
Auba na wenzake wakaze makalio tunahitaji kushinda hii gemu
 
Pamoja na kucheza vizuri lkn bado hatutengenezi nafasi za kufunga nadhani ni muda muafaka wa kutumia plan nyingine means kupiga mashuti tukikaribia langoni kwao
 
Back
Top Bottom