Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ndugu zangu, hapa napambana na mashetani ya nafsi. Najishauri nisiangalie game ya Arsenal hadi mkataba wa Ozil utakapoisha. Mpira ni mzuri ila ni burudani tu. Haki na utu ni muhimu zaidi. Changamoto hii kwangu.
Fata moyo wako au dhamira yako inachokuambia
 
Nyie Arse8 mshamtumia Ozil vya kutosha sasa mnaanza ubaguzi wa kijinga, angalieni laana mtayopata mtaishia kushiriki Europa tu Pumbavu.
 
Kwahiyo tufanyeje? Auba amepiga mashuti 6 tu tangu msimu umeanza. Salah kapiga 25, Calvert Lewin 20 na Kane kapiga 19.

Auba asaidiweje?
Auba keshasaini mkataba kahakikishiwa mpunga mrefu acha ale pesa umri ushaenda Arse8 ndo china ya epl kwa sasa.
#CFC 💙💙💙
 
Ndugu zangu, hapa napambana na mashetani ya nafsi. Najishauri nisiangalie game ya Arsenal hadi mkataba wa Ozil utakapoisha. Mpira ni mzuri ila ni burudani tu. Haki na utu ni muhimu zaidi. Changamoto hii kwangu.
Tangu lini sikio likazid kichwa ukubwa?
Walikuja wakina Henry, bercamp, viera n.k wote wakatumikia kwa ubora wao wakasepa.

Wengine hadi sanamu zao zipo pale emirates.
Wengine walibaki moyoni mwetu, hawatasahaulika kamwe.

Ozil tulimpenda, wenger alimuita artist...na yeye ataondoka tu. Atabaki moyoni mwetu tu
Sisi tutabaki mashabiki as always.
Once a gunner always a gunner.
Hamna mchezaji anayezidi club ukubwa.
 
Baada ya mechi hizo mbili, (Leicester na Man united) natabili, kitumbua cha Arteta kita ingia mchanga.
Anae bisha ayatunze maneno yangu.
Rafiki yangu Kitoabu napenda kukukumbusha tu kua una miaka miwili Kwenye league hujawahi kushinda dhidi yangu,

Ushindi wako utakua sare.
 
Rafiki yangu Kitoabu napenda kukukumbusha tu kua una miaka miwili Kwenye league hujawahi kushinda dhidi yangu,

Ushindi wako utakua sare.
Ila ukae ukikijua kua tushawahi kukufanyia mafuriko ya magoli.

Kwani leo munacheza nani kule futuhi cap.
 
Happy st, boss!

️ Games: 1,235
Wins: 707

𝗧𝗵𝗿𝗲𝗲-time @PremierLeague winner
𝗦𝗲𝘃𝗲𝗻-time @EmiratesFACup winner

Won the league at Old Trafford
Won the league at White Hart Lane

𝗜𝗻𝘃𝗶𝗻𝗰𝗶𝗯𝗹𝗲
images%20(1).jpg
images.jpg
 
Arsenal team to play Rapid Vienna: Leno; Cedric, Luiz, Gabriel, Kolasinac; Pepe, Partey, Elneny, Saka; Lacazette, Nketiah. #AFC
 
Subs:

Runarsson, Macey, Bellerin, Tierney, Aubameyang, Maitland-Niles, Mustafi, Nelson, Willock, Xhaka
 
UEFA have Arsenal in a 4-4-2: Leno; Cedric, Luiz, Gabriel, Kolasinac; Pepe, Partey, Elneny, Saka; Nketiah, Lacazette.

Suspect may is a 4-2-3-1? Lacazette off Nketiah?
 
The team news is in...

@ThomasPartey22 starts
@LacazetteAlex captains the side
@Bernd_Leno is in goal

#UEL
IMG-20201022-WA0009.jpg
 
Strong side, Partey makes his full debut, Pepe and Saka in there too.

UEFA graphic shows Arsenal in a 442 (suspect it won’t be that though).
IMG_20201022_185116.jpg
 
Kwenye hii game nahisi arteta angempa nafasi bwana mdogo runnarson nae aonyeshe uwezo wake,

Anyway,all the best gooners.
 
Back
Top Bottom