Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Stats hizi hapa za 1st half , hata kama tunapenda kulalamika , kweli kwa stats hizi timu inakaa nyuma?Uliyeachia kubana pumbu unazingua.
Kuna member analalamika timu inakaa nyuma.
Sasa mbele itaendaje? Stats zilizoletwa za first half ni stats za mtu anayekaba siye anayeshambulia au kutengeneza nafasi.
I wish I was wrong
Leno Gabriel wanacheza kwenye high lines