Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mkuu, kenge sio tusi bhana!
Kenge ni aina ya mijusi tu.

Huyo ndugu yako ana akili kama mjusi, ndio maana nikamtafutia aina ya mjusi anae fanana nae, nikaona ni kenge tu.

Nasikia Alhamisi munacheza na katapila fc kutoka Sudan ya kusini, hivi ni kweli?
Hahaha matusi ya nini mkuu? Mambo mengine unayaachia yapite
 
Mesut Özil’s message to the Arsenal fans.
_20201021_143435.JPG
 
Arsenal ni timu ambayo recently imekuwa na inequality na political scheme.
"wherever possible use my voice against inhumanity and for justice".

Anachotaka kuendelea kufanya kitam cost sana jamaa, angefanya mpira kwanza then baada ya kustaafu soka ndio ajiingize katika issues za activism. Ndio maana hata FIFA ikiona serikali inajiingizà katika soka(chama cha soka cha nchi husika) wanakuwa wakali coz wanajua politics katika soka ni sumu kali.

I feel for the lad, hopefully anakuwa na mwisho mwema na Arsenal.
 
"wherever possible use my voice against inhumanity and for justice".

Anachotaka kuendelea kufanya kitam cost sana jamaa, angefanya mpira kwanza then baada ya kustaafu soka ndio ajiingize katika issues za activism. Ndio maana hata FIFA ikiona serikali inajiingizà katika soka(chama cha soka cha nchi husika) wanakuwa wakali coz wanajua politics katika soka ni sumu kali.

I feel for the lad, hopefully anakuwa na mwisho mwema na Arsenal.
Yani mtu huchezi alafu pesa inaingia tu kiulaini.
Ndo maana club zingine ukishafikisha miaka 30 tu wanakuuza. Huku wakina Saka wanatoka jasho kila wiki wanalipwa 30k huku mwingine analipwa 350k kukaa nyumbani.
Imeniuma sana hii ishu.
 
"wherever possible use my voice against inhumanity and for justice".

Anachotaka kuendelea kufanya kitam cost sana jamaa, angefanya mpira kwanza then baada ya kustaafu soka ndio ajiingize katika issues za activism. Ndio maana hata FIFA ikiona serikali inajiingizà katika soka(chama cha soka cha nchi husika) wanakuwa wakali coz wanajua politics katika soka ni sumu kali.

I feel for the lad, hopefully anakuwa na mwisho mwema na Arsenal.
Hiki kitu nimezungumzia lakini mnachukua point ya activism tu, yes! Mkhitaryan alifanya haya, Shkodrani, Sead na Xhaka wamefanya haya kwa Bosnia, Albania na Kosovo! Why Özil?
 
Mikel Arteta has a press conference later this evening ahead of the Europa League game tomorrow.
 
"wherever possible use my voice against inhumanity and for justice".

Anachotaka kuendelea kufanya kitam cost sana jamaa, angefanya mpira kwanza then baada ya kustaafu soka ndio ajiingize katika issues za activism. Ndio maana hata FIFA ikiona serikali inajiingizà katika soka(chama cha soka cha nchi husika) wanakuwa wakali coz wanajua politics katika soka ni sumu kali.

I feel for the lad, hopefully anakuwa na mwisho mwema na Arsenal.
Kifupi Ataendelea na Siasa ndan ya Soka,

Hiki ndio kilichomuweka kando na klabu
 
Ukitaka kuona upumbavu wa Arsenal angalia after squad selection, Social Media Manager/s / Admin wanapost content zilizoandaliwa na kuwa exbited kwa watu wenye mlengo wa Özil. Utaona tatizo kwa Arsenal kama taasisi!
 
Yani mtu huchezi alafu pesa inaingia tu kiulaini.
Ndo maana club zingine ukishafikisha miaka 30 tu wanakuuza. Huku wakina Saka wanatoka jasho kila wiki wanalipwa 30k huku mwingine analipwa 350k kukaa nyumbani.
Imeniuma sana hii ishu.
 
Hiki kitu nimezungumzia lakini mnachukua point ya activism tu, yes! Mkhitaryan alifanya haya, Shkodrani, Sead na Xhaka wamefanya haya kwa Bosnia, Albania na Kosovo! Why Özil?
Kuna figures na FIGURES katika jamii mkuu, tunaweza kuongea same thing lakini ukachukiwa kuliko mimi. Image ya Ozil ni kubwa kuliko kina Shkodran na wenzake, usitegeme Ozil kuongea kitu kikachukuliwa lightly, elewa hivyo.

Mpira na uanaharakati au siasa ni sumu, asubiri mpira wake uishe aendelee na mambo mengine, uzuri wa sports mtu anastaafu ndio anaanza maisha, sio kama mwanajeshi akistaafu amechoka mwili na akili.
 
Özil ameathiri kivipi? Maana anachofanya Mesut ni same kilichofanywa na hao!
Kwakweli maswala ya hao siyajui ndio maana nimeomba unisaidie walifanya nn.

Saed , Xhaka, Mustafi sikumbuki na sina record walijihusisha na uanaharakati na kuhiuhusisha Arsenal

Nakumbuka tu Xhaka na Shaqiri Wakiwa timu yao Uswis waliingiza siasa wakaonywa ,

Saed sikumbuki ,Mustafi sikumbuki naomba nisaidie

Ozil situation yake inaonesha ni kubwa., na yakitofauti ,maana Hata Kwenda kucheza Saudia kakataa sababu tu ya Kuwa ni Ana mlengo wa Siasa kutoka Uturuki
 
Kwakweli maswala ya hao siyajui ndio maana nimeomba unisaidie walifanya nn.

Saed , Xhaka, Mustafi sikumbuki na sina record walijihusisha na uanaharakati na kuhiuhusisha Arsenal

Nakumbuka tu Xhaka na Shaqiri Wakiwa timu yao Uswis waliingiza siasa wakaonywa ,

Saed sikumbuki ,Mustafi sikumbuki naomba nisaidie

Ozil situation yake inaonesha ni kubwa., na yakitofauti ,maana Hata Kwenda kucheza Saudia kakataa sababu tu ya Kuwa ni Ana mlengo wa Siasa kutoka Uturuki
Sawa, ngoja yaishe hapa! Mbele si kuzuri.
 
Yani mtu huchezi alafu pesa inaingia tu kiulaini.
Ndo maana club zingine ukishafikisha miaka 30 tu wanakuuza. Huku wakina Saka wanatoka jasho kila wiki wanalipwa 30k huku mwingine analipwa 350k kukaa nyumbani.
Imeniuma sana hii ishu.
Ingekuwa kwa akina Gilberto Rodriguez, Escobar, Carillo,Alberto, Miguel na Tata, Huyu mtu angepigwa risasi
 
Back
Top Bottom