Kwahiyo tufanyeje? Auba amepiga mashuti 6 tu tangu msimu umeanza. Salah kapiga 25, Calvert Lewin 20 na Kane kapiga 19.Smith bado Sana,may be awe anapewa game time za kutosha hususani kwenye carabao na FA ila Yule dogo hafit kabisa kua mchezaji tegemezi.
Mzee wangu huyu mtoto mpira anaucheza, anajua sana paka natamani apewe majukumu ya OzilOnly jembe aliyebakia na mwenye uchungu na kutubeba kwa this season siku akiumia hata mwezi fans tutaongea lugha tofautiView attachment 1605171


Kuhusu auba ni swala muda tu mzee,Kwahiyo tufanyeje? Auba amepiga mashuti 6 tu tangu msimu umeanza. Salah kapiga 25, Calvert Lewin 20 na Kane kapiga 19.
Auba asaidiweje?
Moja ya silaha zetu kubwa hapo baadae,napenda sana the way anavyokua confident katika mechi kubwa na akipewa majukumu makubwa pia,Only jembe aliyebakia na mwenye uchungu na kutubeba kwa this season siku akiumia hata mwezi fans tutaongea lugha tofautiView attachment 1605171
Ndiyo maana nimesema tunamsaidiaje. Au niseme hizo chances atatengenezewajeKuhusu auba ni swala muda tu mzee,
Kumbuka Yule ni striker so anapiga mashoot na kuscore kutokana na nafasi anazotengenezewa,
Je mpaka sasaiv ametengezewa chances ngapi? Na ngapi kashindwa ku convert into goals?.
Huyu dogo anauwezo mkubwa sana.. Anaficha mipira vizuri, halafu akiamua kukaa na mpira kuuchukua ni ngumu.Only jembe aliyebakia na mwenye uchungu na kutubeba kwa this season siku akiumia hata mwezi fans tutaongea lugha tofautiView attachment 1605171
Auba ni mzuri zaidi akitokea pembeni sio katikati.Ndiyo maana nimesema tunamsaidiaje. Au niseme hizo chances atatengenezewaje
Arteta alianza kwanza kuitengeneza defense ya timu na amefanikiwa pa kubwa,Ndiyo maana nimesema tunamsaidiaje. Au niseme hizo chances atatengenezewaje
Hii formation ya kushambulia hata mimi naiona ndiyo inayotakiwa.Auba ni mzuri zaidi akitokea pembeni sio katikati.
Yani Auba, lacazette/nketia, pepe/willian ndo iwe formation ya kushambulia.
True defense yetu iko vyema. Naungana na wewe hapo kwenye kutakiwa marekebisho ya attacking.Arteta alianza kwanza kuitengeneza defense ya timu na amefanikiwa pa kubwa,
Auba ataanza ku score Kama zamani ikiwa attacking area itafanyiwa marekebisho,
Kaka yangu Castr transformation ya timu nzima inahitaji muda kidogo.
Leo Arsenal watawasilisha majina 25 kwa FA
majina ya wachezaji wawili yanatarajiwa kukatwa
Dah, hawa jamaa wamepata gundu. Too bad for them!!Mesut Özil & Sokratis Papastathopoulos will both be left out of Arsenal’s Premier League squad, due to be submitted today by 2pm. [@sr_collings] #afc
Acha utoto wewe, kufungwa ni kufungwa tu, aijalishi umefungwa na nani.Chelsea wamepoteza point kwa West Brom, Liver na Southampton.
United wamepoteza point kwa Palace na Tottenham.
Tottenham wamepoteza point kwa Everton na Newcastle.
Liverpool kapoteza point kwa Everton na Villa.
Man City kapoteza point kwa Leicester na Leeds.
Arsenal kapoteza point kwa Liva na City.
Kawaambie wenzio
Hahaha naona umekasirika.Acha utoto wewe, kufungwa ni kufungwa tu, aijalishi umefungwa na nani.
Cha msingi umepoteza point 6, full stop.
Kama kweli wewe mwenyewe unaamini Man U inashinda nenda kabet kwa kuweka elfu moja tu kisha post hapa ili tuone kama una imani kubwa kiasi hicho au ni plastic fan.NI USHAURI SIO OMBI.
Kwa kua Arsenal8 hampo UCL, tunawashaurini muishabikie Manchester United leo pale itakapo kua inaiadhibu PSG nyumbani kwake.