Hahaha eti Man U anagewa points 6 za kushinda dhidi ya PSG. Underdog la karne hili.NI USHAURI SIO OMBI.
Kwa kua Arsenal8 hampo UCL, tunawashaurini muishabikie Manchester United leo pale itakapo kua inaiadhibu PSG nyumbani kwake.
Hahaha eti Man U anagewa points 6 za kushinda dhidi ya PSG. Underdog la karne hili.NI USHAURI SIO OMBI.
Kwa kua Arsenal8 hampo UCL, tunawashaurini muishabikie Manchester United leo pale itakapo kua inaiadhibu PSG nyumbani kwake.
Hiko kikosi bila xhaka ni maumivu matupu.Mikel akifanya hivi atakuwa amemaliza kazi View attachment 1605950
Kama kweli wewe mwenyewe unaamini Man U inashinda nenda kabet kwa kuweka elfu moja tu kisha post hapa ili tuone kama una imani kubwa kiasi hicho au ni plastic fan.
Hahaha mpe pole alijiona shehe YahayaKubet mambo ya watoto hayo.
Kuna mdogo wako mwaka jana alikula pesa ya ada, sasa hivi nimeamua kumnunulia kirikuu ajiuguze.
Hivi unapata ushujaa gani wa kuja huku siku ya leo?Stay tuned@22:00Hrs EAT.View attachment 1606212



Na ndio maana tunaupenda. Kisicho na maudhi kina bore kaka..Mpira unamaudhi sana
Tusubiri mechi 38..Watatuelewa tu..Ndio maana nimeona nikae kimya ,ila kwa anayejua hii timu Arteta alipoikuta na alipoifikisha ,
Na anakoipeleka hakika huwez kubeza, nashangaa kuna watu wanabeza had usajiri wa Partey ,
Nimemsikikiza Arteta Jana , Leno ,ceballos hakika utaona timu ipo kwenye njia salama
Pep mwenyewe Jana dk za mwisho anaweka mabeki wazuie ,
Wakipona sana 4-0Hahaha mpe pole alijiona shehe Yahaya
Anyway, hata hivyo sioni kama mna chansi ya kutoboa. Ripoti zinasema ataanza Tuanzebe na Lindelof sijawahi kuiona hii partnership ikicheza ila naamini haijazoeana.
Langoni De Gea, mbovu mipira ya mbali. Neymar na Mbape ni experts wa dead balls, Di Maria ni mzuri wa kucut in na kushoot.
Advantage ambayo man u mnaenda nayo ni morali kutokana na ushindi dhidi ya New Castle na wachezaji 7 majeruhi wa psg ambao hawawezi kuanza leo.
Kilichobaki ni maajabu ya mpira tuyasubiri. Ila mnakufa.
Mesut Özil & Sokratis Papastathopoulos will both be left out of Arsenal’s Premier League squad, due to be submitted today by 2pm. [@sr_collings] #afc
Hao wachezaji 7 majeruhi wa PSG ni nani na nani?Hahaha mpe pole alijiona shehe Yahaya
Anyway, hata hivyo sioni kama mna chansi ya kutoboa. Ripoti zinasema ataanza Tuanzebe na Lindelof sijawahi kuiona hii partnership ikicheza ila naamini haijazoeana.
Langoni De Gea, mbovu mipira ya mbali. Neymar na Mbape ni experts wa dead balls, Di Maria ni mzuri wa kucut in na kushoot.
Advantage ambayo man u mnaenda nayo ni morali kutokana na ushindi dhidi ya New Castle na wachezaji 7 majeruhi wa psg ambao hawawezi kuanza leo.
Kilichobaki ni maajabu ya mpira tuyasubiri. Ila mnakufa.
Bado Sead ni mchezaji halali wa Arsenal mkuu.The end of the story kwa Ozil, nataka niulize hivi Kolasinac yupo Arsenal au aliondoka?taarifa zake sijaziona popote
Shukrani kiongoziBado Sead ni mchezaji halali wa Arsenal mkuu.
Yupo na amejuimuishwa kikos cha EPL na EuropaThe end of the story kwa Ozil, nataka niulize hivi Kolasinac yupo Arsenal au aliondoka?taarifa zake sijaziona popote
Verrati, Paredes, Thilo, Marquinhos, Wengine nimewasahau..Hao wachezaji 7 majeruhi wa PSG ni nani na nani?
IG nzima fans wa liva wanalalamika virgil kua nje.Ndugu zangu wa Arsenal, msione kama tumewatenga kujadili na nyie mambo ya kimichezo wiki hii, tuko kwenye jukumu la UEFA.
Tutarudi tukimaliza hili jukumu.
That's good news licha kuna muda huwa anapoteza focus ila still ni mtu muhimu kwenye kikosiYupo na amejuimuishwa kikos cha EPL na Europa
Patamu hapo , Gomez na Matip spana ,IG nzima fans wa liva wanalalamika virgil kua nje.
Klopp akasema liva na mashabiki watamsubiri kama mke mwema anavyomsubiri mumewe.
Now ndiyo tutajua squad depth ya liva inafika mpaka wapi.



