Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

'Niaje watu wangu Arsenali -yes bana
Season hii yetu msi worry- yes bana

-Khaligraph Jones-


Ndugu zangu nawasalimia
 
Kinachowaponza ni yule mdhamini. Demand yake ya idadi ya magoli ndiyo imewafikisha hapo.

Nasikia Huawei 5G wanataka kuwadhamini.
Angalieni wanaume wanacheza UEFA kuanzia kesho ..nyie wamama subirini sendoff Alhamisi.
#CFC 💙💙💙
 
Ila msimu huu tumekaza kiume kwa kweli timu nyingi ni za moto, ingekuwa kocha Unai Emery sijui ingekuaje tu, nahisi tungekuwa nafasi za chini sana
 
Only jembe aliyebakia na mwenye uchungu na kutubeba kwa this season siku akiumia hata mwezi fans tutaongea lugha tofauti
20201019_191118.jpeg
 
Dogo anacheza mpaka unashangaa why anakimbia na kukaba na kucreate chances hata kufunga mwenyewe?wengine kuonekana ni tatizo

Na hapo ndio najiuliza swali, Aubameyang was doing fine before his new contract, but after securing a much better contract, we do not see the value for the money he receives
 
Naanza kuiwazia combination hii katika 4-3-3


Saka Xhaka Partey

Kwa maelezo ya Arteta siku si nyingi ana shift formation
Baada ya kufungwa tatu na liva kwenye ligi kwenye carabao tukawaendea na 4 2 3 1 nafikiri tuna wachezaji sahihi kwa formation hii kuliko hata 4 3 3.
 
Na hapo ndio najiuliza swali, Aubameyang was doing fine before his new contract, but after securing a much better contract, we do not see the value for the money he receives
Kuna page iliandika kwamba: Auba hajascore game 3 na tayari watu wanasema yupo katika ukame wa kuscore. Hiyo inatokana na standards alizojiwekea kwamba kwake scoring au assisst is a must.

Hebu cheki Firmino ana magoli mangapi?
 
Katika ligi kuu 5 za Ulaya Arsenal inashika nafasi ya 92 kati ya timu zinazopiga mashuti.

Hii inamaanisha hakuna wa kupeleka mipira mbele. Smith Rowe agewe namba 10?
 
Katika ligi kuu 5 za Ulaya Arsenal inashika nafasi ya 92 kati ya timu zinazopiga mashuti.

Hii inamaanisha hakuna wa kupeleka mipira mbele. Smith Rowe agewe namba 10?
Smith bado Sana,may be awe anapewa game time za kutosha hususani kwenye carabao na FA ila Yule dogo hafit kabisa kua mchezaji tegemezi.
 
Back
Top Bottom