Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Inashangaza sana mkuu, yaani watu wanakuwa negative tu, hawaoni hata jitihada za watu, alafu kula matapishi ni dakika 0 tu kudadadek
Ndio maana nimeona nikae kimya ,ila kwa anayejua hii timu Arteta alipoikuta na alipoifikisha ,

Na anakoipeleka hakika huwez kubeza, nashangaa kuna watu wanabeza had usajiri wa Partey ,

Nimemsikikiza Arteta Jana , Leno ,ceballos hakika utaona timu ipo kwenye njia salama

Pep mwenyewe Jana dk za mwisho anaweka mabeki wazuie ,
 
Ndio maana nimeona nikae kimya ,ila kwa anayejua hii timu Arteta alipoikuta na alipoifikisha ,

Na anakoipeleka hakika huwez kubeza, nashangaa kuna watu wanabeza had usajiri wa Partey ,

Nimemsikikiza Arteta Jana , Leno ,ceballos hakika utaona timu ipo kwenye njia salama

Pep mwenyewe Jana dk za mwisho anaweka mabeki wazuie ,
Ni shida
 
Wewe umetoka kuikashifu sasa hivi, alafu muda huohuo unataka tujifunze kutoka kwao! Tuwe na akiba ya maneno
Sasa dully ni wapi nimeikashifu WHU? Ni uongo tulistruggle kushinda? Arsenal ya sasa ikifungwa tatu bila kipindi cha kwanza unaiona ikianza kurudisha hayo magoli? Tena kuanzia 81 Min?
 
Full time 3-3 mkuu, EPL ni shida sana.
Yea Tottenhm wana Ndombele, Kane na Son kwaajii ya penetration passes na assissts. Leo kaongezeka na Reguillon.

Villa waliwekeza kwenye cross na Lanzini hakujifikiria lile screamer.

Arsenal? Ikamchezesha Willian false 9. Ceballos (kuna jamaa anadai huyu ni AM) akapotea uwanjani na hakuonyesha kama ana mpango huo. Crosses hazina macho wa kuchezesha timu hakuna.

Hata game ya kabla na liva tulishind kisha ghafla tukaanza kusachiwa. Nakubaliana na Tony Adams anaposema tunatakiwa kuanza kushambulia.
 
Yea Tottenhm wana Ndombele, Kane na Son kwaajii ya penetration passes na assissts. Leo kaongezeka na Reguillon.

Villa waliwekeza kwenye cross na Lanzini hakujifikiria lile screamer.

Arsenal? Ikamchezesha Willian false 9. Ceballos (kuna jamaa anadai huyu ni AM) akapotea uwanjani na hakuonyesha kama ana mpango huo. Crosses hazina macho wa kuchezesha timu hakuna.

Hata game ya kabla na liva tulishind kisha ghafla tukaanza kusachiwa. Nakubaliana na Tony Adams anaposema tunatakiwa kuanza kushambulia.
Sisi tulishinda Vs WHU 2-1 nyumbani, spurs katoa suluhu 3-3 nyumbani. Sioni kwa nini tubeze timu yetu, nadhani tupo vizuri na direction sio mbaya.

Binafsi sijupenda lineup Vs mancity, lakini kochà anajua zaidi yetu so tuwe na akiba ya maneno.
 
Tony Adams kasema mabeki 3 wanakusaidia kwenye Cups. Siyo ideal kwaajili ya title race anaona kwa sasa Arsenal itabidi ianze kuweka mabeki 4.
Adams ataanza kumnyima usingizi Mikel soon,game ya Liver alilalamika Gabriel kuachwa nje
 
So unamaanisha kwamba ni sahihi tunavyostruggle? Magoli ya Tottenham yalifungwa easily, kila mmoja aliwajibika walikua wana mtu anawachezesha.

WHU kusuluhisha haiondoi ukweli tulistruggle.
West Ham ya Moyes wanajua mzee, ni moto mkali ule pia kumbuka Wolves kafa 4 hapo
 
West ham ilitusumbua ila ona Tottenham anavyojipigia. Ndani ya dakika 30 vyuma 3.

Watu bado wanasema Partey alikua sahihu over Aouar.
Ulikuwa na maana gani hapa? Kama sio kuiona westham dhaifu, au kichwa changu kigumu?
 
Back
Top Bottom