Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Ndio maana nimeona nikae kimya ,ila kwa anayejua hii timu Arteta alipoikuta na alipoifikisha ,Inashangaza sana mkuu, yaani watu wanakuwa negative tu, hawaoni hata jitihada za watu, alafu kula matapishi ni dakika 0 tu kudadadek
Na anakoipeleka hakika huwez kubeza, nashangaa kuna watu wanabeza had usajiri wa Partey ,
Nimemsikikiza Arteta Jana , Leno ,ceballos hakika utaona timu ipo kwenye njia salama
Pep mwenyewe Jana dk za mwisho anaweka mabeki wazuie ,



️