Hahaha nani alikua ananiambia Ceballos alicheza AM Madrid na akadai ndiye atafanya kazi ya Aouar. Dadeki watu sijui wanaangaliaje hii timuTimu yetu tuna excuse too much wakati tuna squad bora yenye kuweza kupambana ila results ndio tatizo hata game tulizoshinda Emirates dhidi ya West Ham and Sheffield United nazo ilikuwa ni kubana pumbu mpaka filimbi ilie ndo unatabasamu
