Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ebwana we jamaa ushakua expert member
😀 😀 😀 😀 hata sifuatilii wewe ndo unaniambiaga. Kuna umuhimu wowote wa kuwa expert member? Maana sidhani mimi ni mbobezi wa maswala ya Arsenal kabisa, wataalam hao wapo humu ila si mimi 😀😀
 
Hapo kwenye swala la Primary na Secondary napinga 😀 😀 😀 😀 Kujadili Arsenal na kuwakera timu pinzani vyote ni Primary siyo kimoja primary alafu kinginesecondary. Hizi timu ndogo kama Chelsea,Sp*rs na ManUtd zikifungwa ni sherehe humu 😀😀
Hizi timu ndogo kama cheltako kuwakera ndio jadi ýetu, so ni suala la msingi hilo, naamini kuwakeraa hao jamaa ni muhimu kuliko kula.

Sent from my DUB-LX1 using JamiiForums mobile app
 
😀 😀 😀 😀 hata sifuatilii wewe ndo unaniambiaga. Kuna umuhimu wowote wa kuwa expert member? Maana sidhani mimi ni mbobezi wa maswala ya Arsenal kabisa, wataalam hao wapo humu ila si mimi 😀😀
Hahaha haina faida ila ni title anayogewa member aliyepost mara nyingi
 
Hahaha haina faida ila ni title anayogewa member aliyepost mara nyingi
😀😀Niliwaza mawili. 1: JF watanitafuta niwape account number wawe wananiwekea hata 50k kwa mwezi kwa uexpert wangu. au 2. watu watakuwa wananiuliza mimi maswala ya usajili na maendeleo ya club utadhani mimi niko pale London naonana na kina Auba kila siku na nakunywa chai na Mikel na Edu 😀😀 kama ninavyojua ndo Aaron Arsenal anavyofanya 😃😃
 
😀😀Niliwaza mawili. 1: JF watanitafuta niwape account number wawe wananiwekea hata 50k kwa mwezi kwa uexpert wangu. au 2. watu watakuwa wananiuliza mimi maswala ya usajili na maendeleo ya club utadhani mimi niko pale London naonana na kina Auba kila siku na nakunywa chai na Mikel na Edu 😀😀 kama ninavyojua ndo Aaron Arsenal anavyofanya 😃😃
Chelsea hamna anayejua kuchambua wala hamna anayewapelekea update nenda kwenye uzi wao waambie wewe ni expert member umekuja kuupa uhai uzi wao yaani hiyo 50K mbona ndogo. Wataanza kukuita Masia
 
😀😀Niliwaza mawili. 1: JF watanitafuta niwape account number wawe wananiwekea hata 50k kwa mwezi kwa uexpert wangu. au 2. watu watakuwa wananiuliza mimi maswala ya usajili na maendeleo ya club utadhani mimi niko pale London naonana na kina Auba kila siku na nakunywa chai na Mikel na Edu 😀😀 kama ninavyojua ndo Aaron Arsenal anavyofanya
Cc Aaron Arsenal nakuona unagonga spannish pizza na mikel

Sent from my DUB-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Chelsea hamna anayejua kuchambua wala hamna anayewapelekea update nenda kwenye uzi wao waambie wewe ni expert member umekuja kuupa uhai uzi wao yaani hiyo 50K mbona ndogo. Wataanza kukuita Masia
Kwan na wewe unaweza kuchambua mpira?

Hizi update za Mascot kutimuliwa na zenyewe ni habari au za copy and paste anazoleta Aroon?

Umeanzisha mada kule nimekubana ukakimbia unakuja kutunanga huku.
 
Chelsea vinabo.

Ukiwauliza wamemnunua Kepa kutokea timu gani watajibu Athletic Bilbao. Ukiwauliza kacheza misimu mingapi hawajui, kabla ya Bilbao alikua wapi hawajui.

Huyu Kepa safari yake ni kama Martinez wetu. Bilbao ilikua inamtoa kwa mkopo klabu zingine akaja msimu huo aliong'aa ndiyo chelsea ikatoa 80M yaani wazia kwamba Aston Villa watoe 80M kwa Martinez simply kwakua ameshaini hiki kipindi Leno majeruhi.

Leo hii Kepa thamani yake ni 18M. Ila Aston Villa wakajua lile ni bomu wakaliruka. Hivi vinabo havijifunzi, same comedy vimerudia kwa Werner.
 
Back
Top Bottom